babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,056
- 15,915
Kuna mtekaji ndege mmoja alichukua pesa ndefu sana na akachomoka miaka hiyo hawajamuona mpaka leo,aliteka ndege akalazimisha itue mahali aletewe mpunga otherwise analipua akaletewa mpunga akaamrisha ndege iondoke ilipokua katikati huko msituni kalazimisha pilot afungue nyuma kule kuna ndege zilikua nauwezo kufunguka kule nyuma hata ikiwa inatembea bila madhara yoyote.jamaa alitoka na parachute akapotea huku nyuma kulikua na ndege mbili za wanajeshi zinaifuatilia ile ndege ya mtekaji.ilipotua wanafanikiwa kuwatoa abiria aah wapi mtekaji kashayeya na madola yote waliyompa.jamaa walimtafuta miaka nane mpaka wakakata tamaa wakasema kafa.issue ikabumbuluka kuna dogo aliokota dola mtoni huko na alipokwenda kuchange au kutumia ndio ikajulikana ni kati ya zileee zilizopigwa na mtekaji,msako ukaanza upya.badae wakakata tamaa tena
Jamaa usikute yuko zake thailand huko vijijini analima tu mpunga wake huku ana hazina yake saaafi kaitunza tu.
Jamaa usikute yuko zake thailand huko vijijini analima tu mpunga wake huku ana hazina yake saaafi kaitunza tu.