johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Kwa sasa Chadema imekuwa kama timu ya Yanga hali yake kifedha si shwari na inaishi kwa kutegemea ruzuku ya serikali.
Kutokana na ukweli huo wagombea wote wa chadema iwe wa udiwani, ubunge au urais itawalazimu kujigharamia gharama za kampeni, chama kinaweza labda kutoa bendera.
Kwa namna ya ukubwa wa kampeni za urais nchi nzima simuoni wa kuweza kumudu gharama zake pale Ufipa zaidi ya mzee Lowassa.
Hivyo ni vyama Chadema ikamueleza mapema Tundu Antipas Lisu kwamba asilitelekeze jimbo la Singida mashariki kwa matumaini ya kupewa nafasi ya kugombea urais, nahofia yale ya Dr Slaa yasije yakajirudia 2020.
Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Kutokana na ukweli huo wagombea wote wa chadema iwe wa udiwani, ubunge au urais itawalazimu kujigharamia gharama za kampeni, chama kinaweza labda kutoa bendera.
Kwa namna ya ukubwa wa kampeni za urais nchi nzima simuoni wa kuweza kumudu gharama zake pale Ufipa zaidi ya mzee Lowassa.
Hivyo ni vyama Chadema ikamueleza mapema Tundu Antipas Lisu kwamba asilitelekeze jimbo la Singida mashariki kwa matumaini ya kupewa nafasi ya kugombea urais, nahofia yale ya Dr Slaa yasije yakajirudia 2020.
Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!