Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,641
- 22,240
Ndiyo kuomba misaada ya viwanda.Watakuja Tz?
Ndiyo kuomba misaada ya viwanda.Watakuja Tz?
Mkuu isije ikawa source yako ni KigogoKENi jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia.
Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Wakat mwingine hiyo taasisi ndo inatoa maelekezo ya kukiuka. Raisi kama mtu hana nguvu kama tunavyodhani, lazima watu au mfumo flani umpe hiyo nguvu.Hapana Mkuu, siku hizi uraisi umeacha kuwa taasisi. Si Marekani wala Tanzania tu. Kwa nchi hizi mbilli tu, uraisi ungekuwa tasisi wala tusingeongelea ofisi ya raisi kukiuka katiba kimakusudi.
Ni jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia.
Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa........!
Mtu mweusi anaemhusudu mtu mweupe anaechukia watu weusi, mie kwangu hilo ni fumbo!
chuki ni chuki tu, hata wewe hapa unadhihirisha chuki ya wazi kwa mzee wa watu.Mtu mweusi anaemhusudu mtu mweupe anaechukia watu weusi, mie kwangu hilo ni fumbo!
Myahudi Benjamin Netanyahu kawa rais siku hizi na c waziri mkuu?Ni jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia.
Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Hao ni Mabeberu itakuwaje na sisi hatutaki Mabeberu?Ni jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia.
Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Ni jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia.
Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unavyomuona huyu bwana anaweza kumleta mtu TZ?!Watakuja Tz?
Trump labda aende Kenya..
Shangaa wewe mkuu, hawa mambumbumbu wa kittanzaniaKama tunajivunia kutembelewa na mtu kama Trump basi siwezi tena kujivunia kuitwa Mtanzania!
Una mawazo mfu,ugeni wa jirani wewe utafaidikaje endeleeni na siasa zenuNi jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia.
Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine.
Mungu awabariki.
Maendeleo hayana vyama!