johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,840
Kiukweli mwaka 2019 unaoelekea ukingoni umekuwa mgumu sana kwa Chadema ambayo ilikimbiwa na wabunge wake wengi.
Kadhalika ni mwaka ambao Chadema ilimpoteza mwanachama wake maarufu kuliko wote mzee Lowassa aliyehamia CCM. Pia mzee Sumaye na mzee Mgeja na kundi kubwa la madiwani waliamua kuachana na chadema na kujiendea CCM.
Ni mwaka ambao viongozi wakuu wa Chadema wametumia muda mwingi mahakama ya kisutu kwenye kesi ya Akwilina badala ya kuwatumikia wananchi. Kawe, Bunda, Kibamba, Iringa mjini na Tarime wamekosa uwakilishi bungeni mara kadhaa.
ACT wazalendo wao wamefanikiwa kupata idadi kubwa ya wanachama baada ya maalimu Seif na wafuasi wake kuachana na CUF.
CCM ndio imepata neema kubwa baada ya kupokea wabunge zaidi ya 10 kutoka upinzani na mamia ya madiwani nchini kote.
Nawatakia Christmas yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kadhalika ni mwaka ambao Chadema ilimpoteza mwanachama wake maarufu kuliko wote mzee Lowassa aliyehamia CCM. Pia mzee Sumaye na mzee Mgeja na kundi kubwa la madiwani waliamua kuachana na chadema na kujiendea CCM.
Ni mwaka ambao viongozi wakuu wa Chadema wametumia muda mwingi mahakama ya kisutu kwenye kesi ya Akwilina badala ya kuwatumikia wananchi. Kawe, Bunda, Kibamba, Iringa mjini na Tarime wamekosa uwakilishi bungeni mara kadhaa.
ACT wazalendo wao wamefanikiwa kupata idadi kubwa ya wanachama baada ya maalimu Seif na wafuasi wake kuachana na CUF.
CCM ndio imepata neema kubwa baada ya kupokea wabunge zaidi ya 10 kutoka upinzani na mamia ya madiwani nchini kote.
Nawatakia Christmas yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!