RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,381
- 1,850
- Thread starter
- #241
Yes, inahuzunisha saana. Sometimes vijana wanaokwenda vyuo vya ufundi wanafanya kazi vizuri kuliko hata wasomi wa chuo kikuu.Mwanafunzi anakariri tu vitabu halafu kwenye mtihani akipasi anajisifia na kutamba
Lakini maisha yakianza ndio anaanza ujanja ujanja tu
Sent from my SM-G570F using Tapatalk