RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,371
- 1,836
- Thread starter
- #221
Heheheee! I can only imagine. Kwa kweli ni ngumu. Lazima mguu utajikuta umekanyaga kwenye break. Daa! Mie niliona kwenye S Class ya 2016. Ila ile breaking ni wewe. Steering ndio inajipeleka yenyewe.Siku naelekezwa nilisema leo ndio kukoma ubishi
Yaani kwanza unaingia packing halafu unaiacha itafute parking yenyewe
Speed 10m/h polepole inaenda yenyewe ikipata sehemu hata katikati ya gari mbili na inaona inaweza kuingia kwa ukubwa wake
Command and control inakuambia relax usiguse kitu hapo ndio utajua mzungu kawa MFIPA
Sent from my SM-G570F using Tapatalk