MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,131
- 3,911
Mavazi ni mahitaji ya msingi lakini kipato cha mtanzania kikidumaa kila siku.Jana kwenye shopping zangu nikasema 100,000 ngoja niitumie kwa mavazi leo.Nikapita mitaa ya sinza na mabibo.Yaani nimeambulia kadeti moja 28000,shati moja 25,000 na t-shirt mbili za low quality za 20,000 each.Hizi ni nguo za mchina za kawaida sana ukipita wala mtu hageuki eti umependeza.
Kwa nchi za wenzetu unapozungumzia "Thousands" ni hela nyingi sana.
imagine December sikukuu una watoto watatu tu wanataka nguo za sikukuu na January Ada,mshahara mfano 700,000 bado makato.
Kwa nchi za wenzetu unapozungumzia "Thousands" ni hela nyingi sana.
imagine December sikukuu una watoto watatu tu wanataka nguo za sikukuu na January Ada,mshahara mfano 700,000 bado makato.