Acha utabiri wa kitoto!!
Sijui hata kama wanaangalia Zimbabwe wanavyopambana.Tanzania tutaondoka na furushi la mabao
Nisome vizuri mkuu, nimesema ninashaka Sana. Kwamba tumezidiwa na Hawa jamaa kwa uzoefu nilionao juu ya vijana wetu. Sijutii kauli yangu. TUMEZIDIWA KIWANGO.Wa kwetu umewaona hadi utoe hii tathmini?
Wamekosa umakini kidogo tu kwenye eneo la ushambuliajiZimbabwe wana uwezo mzuri.. nimewaelewa
Uliangalia game la kirafiki tulocheza na Zimbabwe tukatoa draw??mbona Mtanzania mwenzangu unakua mwepesi sana kuhukumu/judge??Wametuzidi mbali sana
Mpira unachezwa uwanjani wote tunaona, kwa zile mechi 2 za majaribio ndio taifa Stars ilingane na hii Zimbabwe inayocheza na Egypt? Acha utani.Uliangalia game la kirafiki tulocheza na Zimbabwe tukatoa draw??mbona Mtanzania mwenzangu unakua mwepesi sana kuhukumu/judge??
Wengine wamekalia kuhusu Mkude na Ajibu kutokuwepo Afcon basi ndio tutafanya vibaya je kwenye mechi za Kuqualify huyo Ajibu na Mkude walikuwepo? Yule dogo wa under 17 alikuwepo??
Amunike kacheza Barcelona kacheza Sporting Lisbon kwa mafanikio makubwa, fainali ya Afcon 1994 kama sikosei alitupia goli mbili peke yake...inamaana yeye na sisi mashabiki nani anajua zaidi?
Mimi naiamini na kuikubali Taifa Stars wana kiwango kizuri kupita Zimbambwe.
Basi tujitoe kwenye mashindano....Mpira unachezwa uwanjani wote tunaona, kwa zile mechi 2 za majaribio ndio taifa Stars ilingane na hii Zimbabwe inayocheza na Egypt? Acha utani.
Comment kama hizi ndio zinatakiwa....Zimbabwe pamoja na kuwa wamefungwa ila wamejitahidi sana
Tanzania na sisi tunatakiwa kupambana namna hii kwenye kundi letu
Imebidi nicheki squad ya Zimbabwe, wanacheza mostly South Africa pia ni regular Starters.Zimbabwe pamoja na kuwa wamefungwa ila wamejitahidi sana
Tanzania na sisi tunatakiwa kupambana namna hii kwenye kundi letu
Utakuwa unatokea kabila la watu wa ajabu sana hongera si ajabu hata wewe mwenyewe hujijui ni nani ila upo sabbu uko hai.Mpira unachezwa uwanjani wote tunaona, kwa zile mechi 2 za majaribio ndio taifa Stars ilingane na hii Zimbabwe inayocheza na Egypt? Acha utani.