Observer
Senior Member
- Oct 18, 2006
- 188
- 290
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inatazamiwa kuanza kutimua vumbi ijumaa tarehe 21/06/2019 kwa mechi kati ya wenyeji Egypt dhidi ya Zimbabwe
Michuano hiyo itahusisha mataifa 24 ambayo yamegawanywa katika makundi 6, kila kundi likiwa na timu 4
Tanzania imefanikiwa kufuzu kwenye mashindano hayo kwa mara ya pili katika historia yake, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1980 na imepangwa katika kundi C
Mara ya mwisho mashindano haya yalifanyika 2017 nchini Gabon ambapo Cameroon walifanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga Egypt kwa magoli 2 -1 katika mechi ya fainali
Je nchi gani unaipa nafasi ya kuchukua kombe hilo?
Nini matumaini ya Tanzania kwenye mashindano hayo?
Tutakuwa tunatumia mada hii kuhabarishana tukielekea kwenye ufunguzi wa mashindano hayo, yanayojiri wakati wa mechi, matokeo na matukio yote yanayohusiana na mashindano hayo
UPDATES
Ratiba 21/06/2019: Egypt vs Zimbabwe
Matokeo: Egypt 1 - 0 Zimbabwe
Ratiba 22/06/2019: Congo vs Uganda | Nigeria vs Burundi | Guinea vs Madagascar
Matokeo: Congo 0 - 2 Uganda | Nigeria 1 - 0 Burundi | Guinea 2 - 2 Madagascar
Ratiba 23/06/2019: Morocco vs Namibia | Tanzania vs Senegal | Kenya vs Algeria
Matokeo: Morocco 1 - 0 Namibia | Tanzania 0 - 2 Senegal | Kenya 0 - 2 Algeria
Ratiba 24/06/2019: Ivory Coast vs South Africa | Tunisia vs Angola | Mali vs Mauritania
Matokeo: Ivory Coast 1 - 0 South Africa | Tunisia 1 - 1 Angola | Mali 4 - 1 Mauritania
Ratiba 25/06/2019: Cameroon vs Guinea Bissau | Ghana vs Benin
Matokeo: Cameroon 2 - 0 Guinea Bissau | Ghana 2 - 2 Benin
Ratiba 26/06/2019: Nigeria vs Guinea | Uganda vs Zimbabwe | Egypt vs Congo
Matokeo: Nigeria 1 - 0 Guinea | Uganda 1 - 1 Zimbabwe | Egypt 2 - 0 Congo
Ratiba 27/06/2019: Madagascar vs Burundi | Senegal vs Algeria | Tanzania vs Kenya
Matokeo: Madagascar 1 - 0 Burundi | Senegal 0 - 1 Algeria | Tanzania 2 - 3 Kenya
Ratiba 28/06/2019: Tunisia vs Mali | Morocco vs Ivory Coast | South Africa vs Namibia
Matokeo: Tunisia 1 -1 Mali | Morocco 1 - 0 Ivory Coast | South Africa 1 - 0 Namibia
Ratiba 29/06/2019: Cameroon vs Ghana | Benin vs Guinea Bissau | Burundi vs Guinea
Matokeo: Cameroon 0 - 0 Ghana | Benin 0 - 0 Guinea Bissau | Burundi 0 - 2 Guinea
Ratiba 30/06/2019: Madagascar vs Nigeria | Uganda vs Egypt | Zimbabwe vs Congo
Matokeo: Madagascar 2 - 0 Nigeria | Uganda 0 - 2 Egypt | Zimbabwe 0 - 4 Congo
Ratiba 01/07/2019: South Africa vs Morocco | Namibia vs Ivory Coast | Tanzania vs Algeria | Kenya vs Senegal
Matokeo: South Africa 0 - 1 Morocco | Namibia 1 - 4 Ivory Coast | Tanzania 0 - 3 Algeria | Kenya 0 - 3 Senegal
Ratiba 02/07/2019: Benin vs Cameroon | Guinea Bissau vs Ghana | Angola vs Mali | Mauritania vs Tunisia
Matokeo: Benin 0 - 0 Cameroon | Guinea Bissau 0 - 2 Ghana | Angola 0 - 1 Mali | Mauritania 0 - 0 Tunisia
UPDATES 2
Baada ya mechi za makundi nchi zilizofaulu kuingia raundi ya mtoano ni: Morocco, Benin, Uganda, Senegal, Nigeria, Cameroon, Egypt, South Africa, Madagascar, Congo, Algeria, Guinea, Mali, Ivory Coast, Ghana, Tunisia
Baada ya mechi za makundi nchi zilizotolewa ni: Tanzania, Kenya, Namibia, Burundi, Zimbabwe, Mauritania, Angola, Guinea Bissau
Round of 16
Ratiba 05/07/2019: Morocco vs Benin | Uganda vs Senegal
Matokeo: Morocco 1 - 4 Benin (Kwa mikwaju ya penalti); Dakika 90 ziliisha kwa kila timu kufunga goli 1 -1, zikaongezwa dakika 30 nazo hazikuwa na mshindi {Benin imeingia robo fainali}
Matokeo: Uganda 0 - 1 Senegal {Senegal yaingia robo fainali}
Ratiba 06/07/2019: Nigeria vs Cameroon | Egypt vs South Africa
Matokeo: Nigeria 3 - 2 Cameroon {Nigeria imeingia robo fainali} | Egypt 0 - 1 South Africa {South Africa imeingia robo fainali}
Ratiba 07/07/2019: Madagascar vs Congo | Algeria vs Guinea
Matokeo: Madagascar 4 - 2 Congo (Kwa mikwaju ya penalti); Dakika 90 ziliisha kwa kila timu kufunga magoli 2 - 2, zikaongezwa dakika 30 nazo hazikuwa na mshindi {Madagascar imeingia robo fainali}
Matokeo: Algeria 3 - 0 Guinea {Algeria imeingia robo fainali}
Ratiba 08/07/2019: Mali vs Ivory Coast | Ghana vs Tunisia
Matokeo: Mali 0 - 1 Ivory Coast {Ivory Coast Imeingia robo fainali}
Matokeo: Ghana 4 - 5 Tunisia (Kwa mikwaju ya penalti) Dakika 90 ziliisha kwa kila timu kufunga goli 1 - 1, zikaongezwa dakika 30 nazo hazikuwa na mshindi {Tunisia imeingia robo fainali}
UPDATES 3
Nchi zilizofanikiwa kuingia hatua ya robo fainali ni: Nigeria, South Africa, Senegal, Benin, Ivory Coast, Algeria, Madagascar na Tunisia
Ratiba: Robo Fainali
10/07/2019: Senegal vs Benin | Nigeria vs South Africa
11/07/2019: Ivory Coast vs Algeria | Madagascar vs Tunisia
Matokeo 10/07/2019: Senegal 1 - 0 Benin {Senegal imeingia nusu fainali} | Nigeria 2 - 1 South Africa {Nigeria imeingia nusu fainali}
Matokeo 11/07/2019: Ivory Coast 3 - 4 Algeria (Kwa mikwaju ya penalti) Dakika 90 ziliisha kwa kila timu kufunga goli 1-1, zikaongezwa dakika 30 nazo hazikuwa na mshindi {Algeria imeingia nusu fainali}
Matokeo 11/07/2019: Madagascar 0 - 3 Tunisia {Tunisia imeingia nusu fainali}
UPDATES 4
Ratiba: Nusu Fainali
14/07/2019: Senegal vs Tunisia | Nigeria vs Algeria
Matokeo 14/07/2019: Senegal 1 - 0 Tunisia {Senegal imeingia fainali} | Nigeria 1 - 2 Algeria {Algeria imeingia fainali}
UPDATES 5
Ratiba: Kutafuta Mshindi wa Tatu
17/07/2019: Tunisia vs Nigeria
Matokeo 17/07/2019: Tunisia 0 - 1 Nigeria {Nigeria wamekuwa washindi wa tatu}
UPDATES 6
Mechi ya Fainali 19/07/2019: Algeria vs Senegal
Latest Scores
7" Algeria 1 - 0 Senegal
Halftime: Algeria 1 - 0 Senegal
60" Algeria 1 - 0 Senegal
70" Algeria 1 - 0 Senegal
80" Algeria 1 - 0 Senegal
85" Algeria 1 - 0 Senegal
90+ Algeria 1 -0 Senegal
Final Score: Algeria 1 - 0 Senegal
Algeria imefanikiwa kuchukuwa ubingwa wa Afcon 2019