Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,986
- 144,313
1.Tunarudisha Bunge live kutokana na maombi ya wananchi-Hii ni serikali sikivu
2.Wanafunzi wanaopata mimba wataendelea na masomo-Tumeona watoto ambao ni Taifa la kesho wanaathirika kwa kukosa elimu
3.Mishaha itaongezwa na kima cha chini kitaongezwa kwa asilimia 100-Serikali inakusudia kuwapunguzia watumishi ugumu wa maisha na kuwapo watumishi motisha ya kazi
4.Makato ya bodi ya mikopo tunayapunguza kufikia asilimia 10 badala ya 15 ya sasa-Tumesikiliza kilio cha wananchi.
5.Bodi hakikisheni kila anaeomba mkopo anapata na kwa hili sitakuwa na salia mtume-Tunatekeleza ilani yetu kwa vitendo.
Small mindsyeeeee!
Great minds:Mhhh!!!!!
2.Wanafunzi wanaopata mimba wataendelea na masomo-Tumeona watoto ambao ni Taifa la kesho wanaathirika kwa kukosa elimu
3.Mishaha itaongezwa na kima cha chini kitaongezwa kwa asilimia 100-Serikali inakusudia kuwapunguzia watumishi ugumu wa maisha na kuwapo watumishi motisha ya kazi
4.Makato ya bodi ya mikopo tunayapunguza kufikia asilimia 10 badala ya 15 ya sasa-Tumesikiliza kilio cha wananchi.
5.Bodi hakikisheni kila anaeomba mkopo anapata na kwa hili sitakuwa na salia mtume-Tunatekeleza ilani yetu kwa vitendo.
Small mindsyeeeee!
Great minds:Mhhh!!!!!