Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Hakika mwaka 2018 jambo kubwa lililo niumiza ni suals la Makinikia ambalo tuliaminishwa kuwa "wanaume' wata tulipa trillion 450 fedha ambazo zingeibadili kabisa nchi yetu na hata haya mambo ya kupora wakulima korosho yasingekuwepo. Ajabu ni kuwa makinikia hayatajwi kabisa kama vile kutaja kitimoto msikitini, sio Mzee Baba au Kabudi wote kimya.
Hilo limeniuma sana 2018, wewe jee ni nini?
Hilo limeniuma sana 2018, wewe jee ni nini?