2017 mwaka mgumu sana.. redunducy, ajira mpya kupungua, mishahara kutoongezeka.. tujiandae kwa hi

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,841
6,109
habari wadau..

kwa hali ilivyokuwa mwaka 2016 inaaonesha mwaka 2017 ndio tutaona matokeo mazuri ya mabadiliko..

naona makampuni ya simu yatapunguza sana wafanyakazi.. tigo yupo kwenye mchakato, zantel nae, hallotel, voda na airtel nao watafata soon..

naona banks nazo zikifunga baadhi ya branches na watu kukosa kazi...

branch mpya zitakuwa chache sana hasa sehem potential tu.. so ajira mpya zitakuwa chache sana..

sitegemei kuona hotel zikijengwa kwa spidi.. zaidi ya hotel kuzidi kufungwa.. so ajira za hotel zitapotea sana..

fast jet, precision nao watasitisha sana ajira kwa spidi hii ya atcl. ajira za anga kushney nazo.

hapo bado viwanda vya bia, juice navyo lazima vitingishike...

haya ni mawazo yangu tu

bila kusahau serikalini utumbuaji na kufukuzana kazi kutaongezeka spidi sana.. maana kila bosi anatafuta mtu wa kumtimua nowdays. .

serikali itafukuza sana wafanyakazi wake kwa makosa madogo madogo ili iwapunguze idadi kubaki na wachache zaidi...

naliona neno kama hutaki acha kazi litatumika sana kila ofisi nchini kuanzia private hadi goverment sectors..
 
Hayo unayoyafikiria sidhani kama yatatokea.
Serikali ilikuwa inadhibiti mianya ya upotevu wa fedha na ninaamini ipo tayari kuwaongezea watumishi mishahara ambayo itawatosha kwa kuishi(Living wage)
 
Kwa vile Posho ndogondogo walizokuwa wakizitegemea wafanyakazi kufidia mishahara midogo zimeondolewa,nyongeza ya mishahara haiepukiki.
 
Kumbuka kuwa Mamlaka ya Utabiri wa hali ya hewa wametabiri maeneo mengi nchini yatakuwa na mvua chini ya wastani na hivi sasa hali inaonekana kuwa hivyo
Sasa tukiogopa kurudi kijijini kulima eti mvua Hamna je Hamna mazao yanayo vumilia mvua za wastan?
 
Mlisema watu watakula krismass na jamaa zao kupitia skype, Jana hadi passo zimepakia abiria, tumechoka na theory zenu za "bad news maker"
 
habari wadau..

kwa hali ilivyokuwa mwaka 2016 inaaonesha mwaka 2017 ndio tutaona matokeo mazuri ya mabadiliko..

naona makampuni ya simu yatapunguza sana wafanyakazi.. tigo yupo kwenye mchakato, zantel nae, hallotel, voda na airtel nao watafata soon..

naona banks nazo zikifunga baadhi ya branches na watu kukosa kazi...

branch mpya zitakuwa chache sana hasa sehem potential tu.. so ajira mpya zitakuwa chache sana..

sitegemei kuona hotel zikijengwa kwa spidi.. zaidi ya hotel kuzidi kufungwa.. so ajira za hotel zitapotea sana..

fast jet, precision nao watasitisha sana ajira kwa spidi hii ya atcl. ajira za anga kushney nazo.

hapo bado viwanda vya bia, juice navyo lazima vitingishike...

haya ni mawazo yangu tu

bila kusahau serikalini utumbuaji na kufukuzana kazi kutaongezeka spidi sana.. maana kila bosi anatafuta mtu wa kumtimua nowdays. .

serikali itafukuza sana wafanyakazi wake kwa makosa madogo madogo ili iwapunguze idadi kubaki na wachache zaidi...

naliona neno kama hutaki acha kazi litatumika sana kila ofisi nchini kuanzia private hadi goverment sectors..
Kuna baa la njaa linakuja, mnaacha kuja na namna ya kukabiliana na hili, nyie kila siku kazi ya kuchambua Serikali tuuu!. Mwenzenu yuko bze kuifumua na kuijenga upya nchi. Na uzuri muda was kusikiliza upuuzi hana. Ss ngoja njaa ifike na huku umetumbuliwa.....!. Kila siku kazi ya kulalamika tuuu, tujiongeze akili.
 
Kila mtanzania anajitahidi kufikiria in a negative way, kila mtanzania anaomba rais magufuli ashindwe ili nchi ionekane haina kiongozi mzuri sijajua kwanini hali iko hivi? Kila mtanzania anajaribu kulalamika kadri awezavyo
Tufanye kazi watanzania
Najua mtaanza kunikejeli kwa sababu nimesema ukweli
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom