2017 Lowasa karibu tena CCM!

Kuna raha gani huko CCM wakati hata kesho tu umeme juu? Hivi nyie ccm mnafuraha sana eti???
 
Mlimwimbiaga tunaimaaani na lowaaasa oyaoyaoya naona mnataka kumwimbia Tena eti...huyu mliyenae hamna imani nae Tena??
 
Back
Top Bottom