johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,446
Hivi sasa huwezi kujua kama jiji la Dsm liko chini ya UKAWA na hii ni kwa sababu ya kasi na mikakati sahihi ya mkuu wa mkoa Paul Makonda. Tofauti na mikoa kama Arusha ambapo viongozi wake hutumia " maguvu" kudhibiti upinzani, jijini Dsm wapinzani wamedhibitiwa kisayansi na kwa kweli wametulia.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, ndani na nje ya CCM Makonda ameng'ara 2017. Ni hayo tu kwa uchache, niwatakie wanaJf wote heri ya mwaka mpya 2018!!