2017 JF Tubadilike, Tupunguze Kuwa "Barking Dogs, Seldom Bite", Tusiishie Kubweka Tu, Tung'ate!

Mkuu, lugha za kashfa au za maudhi hazifanyi hoja yako kuwa na nguvu. Weka hoja kistaarabu utaeleweka tu.

Mkuu nashukuru sana kwa kunikosoa hongera sana. Nilitaraji baada ya kunikosoa wangalau ungekuja na wazo lolote kwenye mada iliyoko mezani. Kibaya zaidi umeishia kuwa kiranja wa nidhamu lakini huna wazo lolote la kujenga au kuharibu. Bora mimi mwenye lugha za kero kama ulivyoliita lakini nina wazo hata kama halikubaliki. Acha kugeuza hili jukwaa kama platiform ya dini wakati wewe mwenyewe huna wazo lolote.
 
Kwa bandiko lako mwenye akili akilisoma atabakia na hitimisho kuwa JF ni genge la wapinzani dhidi ya serikali.

Ukweli ni kwamba JF ni wadau wenye mawazo huru dhidi ya wote wanaopotoka.

Yes Chagadema au CUF itakapovunja katiba yake bila shaka mtawang'ata vilivyo kama unavyopendekeza dhidi ya serikali.

KWA UFUPI BANDIKO LAKO NI CHONGANISHI KATI YA JF DHIDI YA SERIKALI.
Mkuu Jingalao, kwenye hili la utii wa katiba, wengine tunaona direction moja tuu, nothing but the truth.

Nisome hapa kuhusu Chadema, CUF na Ukawa.
https://www.jamiiforums.com/threads...-fake-ikithibitishwa-chadema-kinaweza-kufutwa.

https://www.jamiiforums.com/threads...o-chadema-kufutwa-kwa-mujibu-wa-katiba-endapo.

https://www.jamiiforums.com/threads...hama-wenu-ili-kuwatendea-haki-watanzania-2015

https://www.jamiiforums.com/threads...tari-kugeuka-utawala-wa-kidikteta-nauliza-tuu.

https://www.jamiiforums.com/threads/kifo-cha-cuf-hichoo-chaja-upinzani-kubaki-chadema-pekee.

https://www.jamiiforums.com/threads...r-just-a-marriage-of-convenience-ni-swali-tuu.
Paskali
 
nashauri tiwatumie jamaa wa jukwaa la sheria kufungua kesi za kikatiba dhidi ya serikali huku ma intelligent wakiandaa press na kutoa ufafanuzi,ushauri,kukemea juu ya mambo yanayoenda kombo bila kujali serikalini au vyama vya upinzani
 
Hakuna namna mpaka kibano hiki kinachoendelea kwa vijana cha kukosa mikopo na ajira kitakapofika kilele! Baada ya hapo wataiondoa CCM madarakani na katiba ya Warioba itapitishwa!
 
Moja ni hii ya kupata saini za wananchi kuonyeshwa wanakubaliana au hawakubaliani na issue fulani inayoendelea nchini.

Hii ni rahisi kutekeleza lakini sifahamu inanguvu kiasi gani ndiyo maana nikauliza. Pia hii njia inaweza kutumika hata kwawasio tumia Internet. Watu wanafutwa kwenye community zao wanapewa karatasi waweke saini zao.

Haya mambo yanatakiwa yafanywe na wananchi na si wanasiasa. Kama wanasiasa watashiriki basi washiriki kama watu wakawaida tu. Unajua serikali ingependa kusikiliza zaidi raia wake lakini si makundi yanayoongozwa na wanasiasa.

Serikali ikiona wananchi wanasisitiza jambo la haki kabisa kabisa haiwezi kupuuza. Labda hiyo serikali haijielewi kwelikweli.
Ugumu wa issue hii ni kwamba ni nani ataratibu na kusimamia zoezi hilo? Hapa tu tunapoandika kwenye Jf, Max Mello yuko matatani, sasa je zoezi litaanzia wapi, nani atasimamia? Maana serikali za dunia hii huchukua hatua kwa "front heads" ili "back heads " waogope. Haya tunayojadili hapa, kwa hao wanasiasa tu wanaingiziwa virus na mambo mengi yanakwama. Kwa hali ilivyo ni bora vyama vya siasa vilianzishe na wananchi wahamasishwe kwani vyama vinamudu kesi za kisiasa ingawa zinawapotezea muda na gharama pia.
 
Nashukuru kwa responce yako ambayo haijajibu hoja yangu iliyotokana na maandishi yako katika thread hii....

Kukurejesha kwenye msingi wa post yangu ...ni kwamba...umeitaja serikali....SERIKALI SIKIVU...as if ndani ya JF tuna kazi ya kuikosoa serikali tu...!
Ningefurahi ungekuwa huru despite unazi wako dhidi ya Magufuli....ningependa kukuona unaweka balance kwa kusema wanaJF wachukue hatua dhidi ya wote....yaani watawala na wapinzani wanaotaka kupumbaza umma.
 
Nashukuru kwa responce yako ambayo haijajibu hoja yangu iliyotokana na maandishi yako katika thread hii....

Kukurejesha kwenye msingi wa post yangu ...ni kwamba...umeitaja serikali....SERIKALI SIKIVU...as if ndani ya JF tuna kazi ya kuikosoa serikali tu...!
Ningefurahi ungekuwa huru despite unazi wako dhidi ya Magufuli....ningependa kukuona unaweka balance kwa kusema wanaJF wachukue hatua dhidi ya wote....yaani watawala na wapinzani wanaotaka kupumbaza umma.
Sijasema tuchukue hatua dhidi ya watawala tuu. Nimesema tumekuwa tukipigia kelele mambo mengi tuu ya kisiasa kiuchumi na kijamii, na sio kuhusu watawala pekee.

Nimeshauri kwa mwaka 2017 tusiishie kupiga tuu kelele bali twende hatua moja mbele kwa kushauri nini cha kufanyika ili kubadilisha hiyo hali na tukiweza, pía tuchukue hatua za kuelekea kwenye mabadiliko hayo.

Tena sio lazima mambo ya kisiasa tuu,
Angalia hapa nilipigania nini

https://www.jamiiforums.com/threads...me-tanzania-tuhalalishe-the-oldest-profession.

https://www.jamiiforums.com/threads...-kuna-imani-na-matumaini-na-chadema-kwa-2015?.

https://www.google.com/url?sa=t&sou...ake-wafunzwe-kukubali-ili-kuepuka-ukatili-huu.
Paskali
 
Sijasema tuchukue hatua dhidi ya watawala tuu. Nimesema tumekuwa tukipigia kelele mambo mengi tuu ya kisiasa kiuchumi na kijamii, na sio kuhusu watawala pekee.

Nimeshauri kwa mwaka 2017 tusiishie kupiga tuu kelele bali twende hatua moja mbele kwa kushauri nini cha kufanyika ili kubadilisha hiyo hali na tukiweza, pía tuchukue hatua za kuelekea kwenye mabadiliko hayo.

Tena sio lazima mambo ya kisiasa tuu,
Angalia hapa nilipigania nini

https://www.jamiiforums.com/threads...me-tanzania-tuhalalishe-the-oldest-profession.

https://www.jamiiforums.com/threads...-kuna-imani-na-matumaini-na-chadema-kwa-2015?.

https://www.google.com/url?sa=t&sou...ake-wafunzwe-kukubali-ili-kuepuka-ukatili-huu.
Paskali
Weka maandishi yako yawe manyoofu mkuu.

By the way mimi nafurahia na ninaamini hii role ya JF kwa sasa ni kubwa mno na haihitaji kujiingiza au kwenda field cha msingi ni kuiboresha zaidi.

Watoto waache thread za uzushi na upotoshaji badala yake wajikite kwenye kutoa hoja na kujadilisha taarifa rasmi za serikali au chama flani au taasisi flani.

Mods wanazionea huruma sana threads za upotoshaji kiasi kwamba zinaanza kuwa sehemu ya utamaduni ndani ya JF.

Mimi naamini wengi wa wanaJF tayari wako kwenye field na wanathubutu kubadilisha hali ya mambo kwa vitendo....Tatizo kwa sasa hakuna muongozo....viongozi waliotegemewa kuwa na mawazo mbadala (iwe waandishi,vyama vya upinzani,NGOs na wanaharakati) ni wanafiki na matapeli wa kisiasa.

Jf ibakie kama fimbo dhidi ya wote
 
Wanabodi Salaam.

Wakati tukifunga mwaka 2016 na kujiandaa kuupokea mwaka 2017, sisi wana JF individually au collectively inatubidi tujitathimini kama hizi kelele tunazopiga humu kupigia kelele mambo mengi yanayoendeshwa ndivyo sivyo, zinasaidia?.

Tujiulize tumepigia kelele mangapi na jee kumesaidia kuleta mabadiliko? .

Kwa upande wangu nakiri hizi kelele zimesaidia sana. Japo wapigiwa kelele wanajifanya kuweka pamba masikioni kujifariji kuwa hawasikii na kuvaa miwani ya zege kuwa hawaoni, ukweli ni kuwa, sio tuu wanasikia sana, na wanaona sana, bali pia wanabadilika, changing for the better.

Hivyo natoa wito kwa wana JF ambao ni bold enough, kwa mwaka 2017, tusiendelee tuu kuwa just a Barking dogs who seldom bite, besides barking only, let's start to bite little by little by taking simple actions towards bringing about radical changes for the better kwa mambo tunayoyapigia kelele.

Tukiona kuna jambo ambalo linakwenda ndivyo sivyo, tusiishie kulipigia tuu kelele bali pia tupendekeze hatua za kuchukua kuibadili hiyo hali na naamini serikali yetu sikivu itatekeleza na isipotekeleza, tutafanya actions kuifanya itekeleze, yaani isipotekeleza, itekelezeshwe kwa jinsi ile ile ilivyochaguliwa kwa kura zisipotosha, zinatosheshwa na kama ni ujazo ukijaza usipojaa unajazilizia, hivyo kwa mwaka 2017, tupunguze maneno maneno kwa kusema sema sana, maneno mengi, kelele nyingi lakini vitendo sifuri.

Tuwe watu wa maneno mafupi na vitendo virefu. Tupunguze maneno, tuongeze vitendo kuisaidia Tanzania yetu ibadilike kwa ku change for the better! .

Nakiri kuwa inspired kupandisha bandiko hili katokana na hoja ya mwana JF huyu

Maneno matupu hayavunji mfupa, watu mnakuja na kauli zenye maneno makali kama hizi kauli za "hatukubali kuona katiba ikivunjwa" as if katiba ikivunjwa kuna kitu mna uwezo wa kufanya!, wakati kiukweli katiba kila siku inavunjwa bila kufanywa lolote kwa sababu hamna uwezo wa kufanya lolote zaidi ya kubweka tuu!.

Kwa kunisaidia mimi na wengine, usiishie kusema hatutakubali kuona katiba yetu ikivunjwa, bali twende a step further kwa kusema, utafanya nini au unaweza kufanya nini endapo katiba yetu itavunjwa tena, ili kupunguza mabandiko ya maneno matupu, vinginevyo na bandiko hili ni muendelezo wa mabandiko mengi ambayo mimi nayaita mabandiko ya
" a barking dog seldom bite!".

Kwa mwaka 2017, wana jf tupunguze kubweka tuu, ikibidi kung'ata pia tung'ate.
Bye Bye Mwaka 2016, Karibu 2017.
Paskali
Mkuu hajaribiwi na isiitoshe simuelewi anataka nini maana anasema in mtetezi wa wanyonge halafu umeme unapanda bei
 
Mkuu hajaribiwi na isiitoshe simuelewi anataka nini maana anasema in mtetezi wa wanyonge halafu umeme unapanda bei
Mkuu Nguvu, hoja yako ni moja ya matatizo makubwa ya Watanzania wengi, kutokataka kuambiwa ukweli. Ukweli ni kwamba gharama za uzalishaji umeme ni kubwa kuliko zinazotozwa. Huu ndio ukweli wenyewe na halisi. Tuukubali ukweli.
 
Mkuu nashukuru sana kwa kunikosoa hongera sana. Nilitaraji baada ya kunikosoa wangalau ungekuja na wazo lolote kwenye mada iliyoko mezani. Kibaya zaidi umeishia kuwa kiranja wa nidhamu lakini huna wazo lolote la kujenga au kuharibu. Bora mimi mwenye lugha za kero kama ulivyoliita lakini nina wazo hata kama halikubaliki. Acha kugeuza hili jukwaa kama platiform ya dini wakati wewe mwenyewe huna wazo lolote.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya " To Say Something" na " Something To Say"

NB: Huwa wanasema " All good speakers are always good listeners"
 
Wanabodi Salaam.

Wakati tukifunga mwaka 2016 na kujiandaa kuupokea mwaka 2017, sisi wana JF individually au collectively inatubidi tujitathimini kama hizi kelele tunazopiga humu kupigia kelele mambo mengi yanayoendeshwa ndivyo sivyo, zinasaidia?.

Tujiulize tumepigia kelele mangapi na jee kumesaidia kuleta mabadiliko? .

Kwa upande wangu nakiri hizi kelele zimesaidia sana. Japo wapigiwa kelele wanajifanya kuweka pamba masikioni kujifariji kuwa hawasikii na kuvaa miwani ya zege kuwa hawaoni, ukweli ni kuwa, sio tuu wanasikia sana, na wanaona sana, bali pia wanabadilika, changing for the better.

Hivyo natoa wito kwa wana JF ambao ni bold enough, kwa mwaka 2017, tusiendelee tuu kuwa just a Barking dogs who seldom bite, besides barking only, let's start to bite little by little by taking simple actions towards bringing about radical changes for the better kwa mambo tunayoyapigia kelele.

Tukiona kuna jambo ambalo linakwenda ndivyo sivyo, tusiishie kulipigia tuu kelele bali pia tupendekeze hatua za kuchukua kuibadili hiyo hali na naamini serikali yetu sikivu itatekeleza na isipotekeleza, tutafanya actions kuifanya itekeleze, yaani isipotekeleza, itekelezeshwe kwa jinsi ile ile ilivyochaguliwa kwa kura zisipotosha, zinatosheshwa na kama ni ujazo ukijaza usipojaa unajazilizia, hivyo kwa mwaka 2017, tupunguze maneno maneno kwa kusema sema sana, maneno mengi, kelele nyingi lakini vitendo sifuri.

Tuwe watu wa maneno mafupi na vitendo virefu. Tupunguze maneno, tuongeze vitendo kuisaidia Tanzania yetu ibadilike kwa ku change for the better! .

Nakiri kuwa inspired kupandisha bandiko hili katokana na hoja ya mwana JF huyu

Maneno matupu hayavunji mfupa, watu mnakuja na kauli zenye maneno makali kama hizi kauli za "hatukubali kuona katiba ikivunjwa" as if katiba ikivunjwa kuna kitu mna uwezo wa kufanya!, wakati kiukweli katiba kila siku inavunjwa bila kufanywa lolote kwa sababu hamna uwezo wa kufanya lolote zaidi ya kubweka tuu!.

Kwa kunisaidia mimi na wengine, usiishie kusema hatutakubali kuona katiba yetu ikivunjwa, bali twende a step further kwa kusema, utafanya nini au unaweza kufanya nini endapo katiba yetu itavunjwa tena, ili kupunguza mabandiko ya maneno matupu, vinginevyo na bandiko hili ni muendelezo wa mabandiko mengi ambayo mimi nayaita mabandiko ya
" a barking dog seldom bite!".

Kwa mwaka 2017, wana jf tupunguze kubweka tuu, ikibidi kung'ata pia tung'ate.
Bye Bye Mwaka 2016, Karibu 2017.
Paskali
Hata hii vita ya madawa ya kulevya ni muendelezo wa barking and barking kwa kukimbizana na mateja na vidagaa, mapapa wenyewe wako well camouflaged, wako as safe as heaven.
Paskali
 
Wanabodi Salaam.

Wakati tukifunga mwaka 2016 na kujiandaa kuupokea mwaka 2017, sisi wana JF individually au collectively inatubidi tujitathimini kama hizi kelele tunazopiga humu kupigia kelele mambo mengi yanayoendeshwa ndivyo sivyo, zinasaidia?.

Tujiulize tumepigia kelele mangapi na jee kumesaidia kuleta mabadiliko? .

Kwa upande wangu nakiri hizi kelele zimesaidia sana. Japo wapigiwa kelele wanajifanya kuweka pamba masikioni kujifariji kuwa hawasikii na kuvaa miwani ya zege kuwa hawaoni, ukweli ni kuwa, sio tuu wanasikia sana, na wanaona sana, bali pia wanabadilika, changing for the better.

Hivyo natoa wito kwa wana JF ambao ni bold enough, kwa mwaka 2017, tusiendelee tuu kuwa just a Barking dogs who seldom bite, besides barking only, let's start to bite little by little by taking simple actions towards bringing about radical changes for the better kwa mambo tunayoyapigia kelele.

Tukiona kuna jambo ambalo linakwenda ndivyo sivyo, tusiishie kulipigia tuu kelele bali pia tupendekeze hatua za kuchukua kuibadili hiyo hali na naamini serikali yetu sikivu itatekeleza na isipotekeleza, tutafanya actions kuifanya itekeleze, yaani isipotekeleza, itekelezeshwe kwa jinsi ile ile ilivyochaguliwa kwa kura zisipotosha, zinatosheshwa na kama ni ujazo ukijaza usipojaa unajazilizia, hivyo kwa mwaka 2017, tupunguze maneno maneno kwa kusema sema sana, maneno mengi, kelele nyingi lakini vitendo sifuri.

Tuwe watu wa maneno mafupi na vitendo virefu. Tupunguze maneno, tuongeze vitendo kuisaidia Tanzania yetu ibadilike kwa ku change for the better! .

Nakiri kuwa inspired kupandisha bandiko hili katokana na hoja ya mwana JF huyu
" a barking dog seldom bite!".

Kwa mwaka 2017, wana jf tupunguze kubweka tuu, ikibidi kung'ata pia tung'ate.
Paskali
Haya leo ushauri kama huu umetolewa pale Ubungo, JF tupunguze maneno on personalities, to deal na issues.

Paskali
 
Wanabodi Salaam.

Hivyo natoa wito kwa wana JF ambao ni bold enough, kwa mwaka 2017, tusiendelee tuu kuwa just a Barking dogs who seldom bite, besides barking only, let's start to bite little by little by taking simple actions towards bringing about radical changes for the better kwa mambo tunayoyapigia kelele.

Tukiona kuna jambo ambalo linakwenda ndivyo sivyo, tusiishie kulipigia tuu kelele bali pia tupendekeze hatua za kuchukua kuibadili hiyo hali na naamini serikali yetu sikivu itatekeleza na isipotekeleza, tutafanya actions kuifanya itekeleze, yaani isipotekeleza, itekelezeshwe kwa jinsi ile ile ilivyochaguliwa kwa kura zisipotosha, zinatosheshwa na kama ni ujazo ukijaza usipojaa unajazilizia, hivyo kwa mwaka 2017, tupunguze maneno maneno kwa kusema sema sana, maneno mengi, kelele nyingi lakini vitendo sifuri.

Tuwe watu wa maneno mafupi na vitendo virefu. Tupunguze maneno, tuongeze vitendo kuisaidia Tanzania yetu ibadilike kwa ku change for the better! .

Paskali
Namsubiria akujibu maana siku hizi kabadilika sanaaaa
Najifanyia self diagnosis kujijua kama Pasco ni yule yule juzi jana na leo au amebadilika!. Nikimaanisha yule Pasco wa Jf na mimi Paskali kama ni watu wawili tofauti.

Sii wengi wanaofahamu kwa kila binadamu kuna duality!. Mwanasaikolojia Dr. Sigmund Freud aliandika katika kitabu cha Dr.Jeckel and Mr. Hyde cha Robert Luis Stevenson.

Hata wimbo fulani wa ABBA Group uitwao Me & I umezungunzia.
Hivyo you might be right ukidhani nimebadilika kumbe we are two different people! .
Paskali
 
Wanabodi Salaam.

Wakati tukifunga mwaka 2016 na kujiandaa kuupokea mwaka 2017, sisi wana JF individually au collectively inatubidi tujitathimini kama hizi kelele tunazopiga humu kupigia kelele mambo mengi yanayoendeshwa ndivyo sivyo, zinasaidia?.

Tujiulize tumepigia kelele mangapi na jee kelele hizo zimesaidia kitu?, au zimeleta mabadiliko? .

Kwa upande wangu nakiri hizi kelele kwa kiasi fulani zimesaidia, ila ili kelele zetu zizae matunda ni kupunguza kelele za maneno matupu na tuongeze matendo.

Japo wapigiwa kelele wanajifanya kuweka pamba masikioni kujifariji kuwa hawasikii kelele zetu na kuvaa miwani ya zege kuwa hawaoni, ila ukweli ni kuwa, sio tuu wanasikia sana kelele zetu, pia wanaona sana, bali pia wanabadilika kidogo kidogo, changing for the better. Kama kelele zetu zitaandamana na matendo, hawawezi kujifanya hawasikii maana matendo yatawasikilizisha, wakijifanya hawaoni, matendo yatawaonyesha kwa jinsi ile ile kura zikipigwa zisipotosha zinatosheshwa, zisipo jaa zinajazilizwa.

Hivyo natoa wito kwa wana JF ambao ni bold enough, kwa mwaka 2017, tusiendelee tuu kupiga kelele kwa kuwa just a Barking dogs who seldom bite, besides barking only, let's start to bite little by little by taking simple actions towards bringing about radical changes we need for the better kwa mambo tunayoyapigia kelele.

Tukiona kuna jambo ambalo linakwenda ndivyo sivyo, tusiishie kulipigia tuu kelele bali pia tupendekeze hatua za vitendo za kuchukua kuibadili hiyo hali na naamini serikali yetu sikivu itatekeleza na isipotekeleza, tutafanya actions kuifanya itekeleze, yaani isipotekeleza, itekelezeshwe kwa jinsi ile ile ilivyochaguliwa kwa kura zisipotosha, zinatosheshwa na kama ni ujazo ukijaza usipojaa unajazilizia, hivyo kwa mwaka 2017, tupunguze maneno maneno kwa kusema sema sana, maneno mengi, kelele nyingi lakini vitendo sifuri. Tuongeze vitendo.

Tuwe watu wa maneno mafupi na vitendo virefu. Tupunguze maneno, tuongeze vitendo kuisaidia Tanzania yetu ibadilike kwa ku change for the better! .

Nakiri kuwa inspired kupandisha bandiko hili katokana na hoja ya mwana JF huyu

Wahenga walisema "maneno matupu hayavunji mfupa", na "matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno" hivyo watu mnakuja humu na kauli tupu zenye maneno makali kama hizi kauli za "hatukubali kuona katiba ikivunjwa" as if katiba ikivunjwa kuna kitu mna uwezo wa kufanya!, wakati kiukweli katiba kila siku inavunjwa bila kufanywa lolote kwa sababu hamna uwezo wa kufanya lolote zaidi ya kubweka tuu!, wakati kiuhalisia kuna kitu tunaweza kufanya.

Kwa kunisaidia mimi na wengine, usiishie kusema hatutakubali kuona katiba yetu ikivunjwa, bali twende a step further kwa kusema, utafanya nini au unaweza kufanya nini endapo katiba yetu itavunjwa tena, ili kupunguza mabandiko ya maneno matupu, vinginevyo na bandiko hili ni muendelezo wa mabandiko mengi ambayo mimi nayaita mabandiko ya
" a barking dog seldom bite!".

Kwa mwaka 2017, wana jf tupunguze kubweka tuu, ikibidi kung'ata pia tung'ate.
Bye Bye Mwaka 2016, Karibu 2017.
Paskali
Bandiko hili nimeanza kulifanyia kazi mdogo mdogo.

Paskali
 
Sheikh Bura alikutwa amekufa ndani ya ofisi yake. Afande Muroto anasema sababu ya kifo ni moyo wa Sheikh Bura " kufeli. " Taarifa za watu wengine zinadai mwili wa marehemu ulikutwa na majeraha matatu.


Mkuu JokaKuu

kuna msemo usemao '' ni bora kukaa kimya, unaweza kuongea na kuwatoa watu mashaka''

Kuna umuhimu wa viongozi kuchunga kauli zao, na si lazima waongelee kila jambo

kamanda anasema waandishi waende kwa right source ambazo ni Polisi
Pengine kamanda ajiulize kwanini watu wanashaka na taarifa zao

Watu kutafuta habari za mitaani ni dalili ya kupoteza imani na right source.

Pascal Mayalla
Mkuu Nguruvi3,
Kwanza naunga mkono hoja.
Kunapotokea kifo cha utata, taarifa ya polisi ilipaswa kuishia kwenye kuthibitisha mwili umepatikana, ukiwa amekufa na daktari amethibitisha kifo .

Baada ya hapo taarifa ya kifo kimesababishwa na nini haikupaswa kutolewa na police bali daktari, tena kwa vile mwili ulifanyiwa post mortem, hata familia walipaswa kushauriwa wasizungumzie mwili umekutwajwe (bila nguo, na majeraha, umejaaje) kabla ya forensic report ambayo familia ndio hupewa na kuwa na disclosure liberty.

Marehemu kukutwa bila nguo sio uthibitisho wa crime wala mwili kukutwa na majeraha hayo matatu kwa mujibu wa mtoto wa marehemu pia sio uthibitisho wa crime kama uchunguzi wa forensic ungethibitisha hayo majeraha ni ya nini na ya lini maana mwili umekutwa ukiwa umekaa 3 days dead body in a room, hivyo there is a chance majereha hayo yalikuwa inflicted on dead body baada ya kufariki natural death.

Kitu ambacho sijasikia kikitajwa kwenye kifo hiki ni ambacho mimi nakihisi ni kuwa huyu Marehemu alitoka Dar kwenye mkutano ule ule wa CAG Mstaafu. Ulikuwa ni mkutano wa nini, ulijadili nini, waliohudhuria mkutano ule wajitokeze waseme marehemu alichangia nini kwenye mkutano ule ili tuweze ku connect the dots kama kilikuwa ni kifo cha kawaida or else.

Kwenye uwezo wa polisi wetu na serikali yetu kufanya baadhi ya mambo, unafahamika na niliisha wahi kuuzungumza hapa

Haya mambo ya Ma RPC kutoa taarifa za urongo kwenye media na kutuona sisi wananchi wote kama ni watoto wa darasa la pili, pia niliisha wahi lizungumza humu kwa kumshauri IGP Sirro asiwaache ma RPC waropokaji kama hawa kulichafua jeshi letu safi la polisi

Hili la kifo hiki linahitaji maelezo ya ziada ili lieleweke.
Kwa vile Jamiiforums tumetajwa kwa kushutumiwa kwa uzushi, nashauri uongozi wa jf usikubali na tusikae kimya, hata kama aliyeleta taarifa hizo mwanzo ni just an ordinary member, lakini baada ya tuhuma kwa jf, ni ama huyo member awe equipped kwa kuwa linked na members humu wenye uwezo wa kufanya IJ wamuelekeze cha kufanya ili kuisafisha jf, au jf imtume member mwingine mwenye credentials za kufanya hayo makitu na ukweli ukibainika, ni kamanda Muroto kumpumzishwa tuu kwa uropokaji.

P
 
Back
Top Bottom