2017 Afcon Final - Egypt vs Cameroon. Cameroon wamechukua ubingwa kwa kushinda kwa magoli 2-1

Benjamin moukandjo na Sebastian sian nimetokea kuwakubali sana hawa wacameroon piga hao misri
 
Kama wewe sio mwanamichezo uzi huu upite mbali mambo ya ubaguzi pelekeni kwenye siasa,makabila na dini zenu

We all speak football ..ndio maana mpira unapoanza macaptain hubadilishana badge zilizoandikwa no racism

Lugha ya mpira ni mmoja ,msituletee ujinga wenu


Misri wana nidhamu ya mchezo toka mwanzo wa ligi 433 yao wanakabia kwenye half yao kuziba mianya na wanatumia wings ..misri hii tofauti na ya akina abutrika ambayo ilikuwa inafanya high pressing muda wote hawa temper yao ipo slow

Cameroon kati wapo vizuri ila mbele makali hawana halafu wasitumie crosses beki za misri juu wapo vizuri ,winga yao ya kulia yupo vizuri watumie flang ya kulia vizuri...
 
Kama mimi ili niwe mshabiki wa timu fulani lazima niangalie rangi kama weusi hata kama hawajui kucheza nitawasapoti,
Vivyo hivyo kwa soccer club za nje kama ina weusi wengi basi ndio huwa nakuwa shabiki wao
Unakumbuka ile Lyon sijui Marseille ya uefa champions league euro ilikuaga na mtu mweusi timu nzima isipokuwa captain wao golikipa.
 
Kama wewe sio mwanamichezo uzi huu upite mbali mambo ya ubaguzi pelekeni kwenye siasa,makabila na dini zenu

We all speak football ..ndio maana mpira unapoanza macaptain hubadilishana badge zilizoandikwa no racism

Lugha ya mpira ni mmoja ,msituletee ujinga wenu


Misri wana nidhamu ya mchezo toka mwanzo wa ligi 433 yao wanakabia kwenye half yao kuziba mianya na wanatumia wings ..misri hii tofauti na ya akina abutrika ambayo ilikuwa inafanya high pressing muda wote hawa temper yao ipo slow

Cameroon kati wapo vizuri ila mbele makali hawana halafu wasitumie crosses beki za misri juu wapo vizuri ,winga yao ya kulia yupo vizuri watumie flang ya kulia vizuri...
Babu ehee.. hawa cameroon wameingia wako overconfident na hilo bao ndio limewachanganya kabisa na wanachofanya kila wakifika mbele hakionekani kuleta impact zaidi ya kupiga nje na kupoteza mpira kwa urahisi.

Pamoja na misri kupooza lakini bado wana chance ya kuongeza goli hapa... Utaliona hili kwa mashambulizi yao jinsi yalivyo organized.

Kifupi hii game ni kama imeshaisha tu na misri ndio bingwa.
 
Mpira hudunda Mkuu ila hawa Misri nawaona kama wana determination kubwa sana, ila nataka wapigwe leo.

BAK

Wewe unaona kuna dalili zozote za kubadilisha matokeo kama yanavyoonekana kwa upande wa cameroon?
 
Back
Top Bottom