Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,927
- 63,937
Zipo, lakini kilichotokea kwao kilichangiwa na watu ambao waliamini kua USA ndiyo Mwarobaini wa tatizo lao. USA ikatumia mgongo wa demokrasia na vita dhidi ya ugaidi kama kigezo cha kuingia humo lakini wakisaidiwa na wananchi wa taifa husika.Hiyo sovereignty haipo Iraq ?, haipo Afghanistan?, haipo Libya?
Wananchi wengi wa USA walilalamikia gharama zilizoingiwa na nchi yao kwenye hizi vita, sioni kama Trump atakua radhi kutumia pesa ya wananchi kuja kugombana na bara ambalo raisi wake anawaahidi watu wake umeme na maji.