Kazuri Kadada
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 536
- 435
Syria walichakazwa kama watoto wadogo. Wayahudi ni balaaUmenikumbusha ile vita ya siku 6 ya Israel na Waarabu
Syria walichakazwa kama watoto wadogo. Wayahudi ni balaaUmenikumbusha ile vita ya siku 6 ya Israel na Waarabu
Wayahudi walipewa msaada mkubwa sana na nchi za Ulaya na Marekani.Syria walichakazwa kama watoto wadogo. Wayahudi ni balaa
hapana mkuuAnaitwa Eli Cohen
Unabisha nini sasa wakati ni kweli aliitwa Cohen. Jina lako lipo kama la kihehehapana mkuu
CIA ya Misri ikamdakaNimejaribu kutafuta story ya huyu jamaa. Inawezekana sana alikuwa ajenti wa Israel. Alishakaa sana Misri, kwa kuja na kuondoka kabla hajaja mara ya mwisho alipodakwa.
Aliwahi kufika Israel na inasemwa alikuwa na totoz ya kule.
Alikuwa anafuatiliwa kwa muda mrefu na mashushushu wa Misri kabla hajatiwa nguvuni, kuteswa na kuuawa
Alikuwa yuko karibu sana na vijikundi vya mitaani, alijichanganya navyo sana
Inavyoonekana kujishughulisha na utafiti kama mwanafunzi wa PhD ilikuwa kama kijificho fulani ili aweze kufanya mishemishe yake bila kung'amuliwa
Inasemekana huyo dogo mwanafunzi alikula sana kisago kabla ya kuuwawa. Kweli Polisi sio mchezo.CIA ya Misri ikamdaka
Yah, Halaf wakampa kibano heavy Na kumuua. Mwili wake hawakuhangaika kwenda kuufukia jangwani ili usipatikane. Nafikiri walitaka liwe onyo kwa wengineCIA ya Misri ikamdaka
Daaah noma sana mkuuYah, Halaf wakampa kibano heavy Na kumuua. Mwili wake hawakuhangaika kwenda kuufukia jangwani ili usipatikane. Nafikiri walitaka liwe onyo kwa wengine
Wanajeshi wanajua kupiga mdogo wangu usifanye masihara. Yaaani unapigwa mpaka nzi akitua katika mwili wako unasikia maumivu.Daaah noma sana mkuu
Wanajeshi waliokosa nidhamu ndio wanapenda sana kupiga raiaWanajeshi wanajua kupiga mdogo wangu usifanye masihara. Yaaani unapigwa mpaka nzi akitua katika mwili wako unasikia maumivu.
Alafu sio poa hata kidogoWanajeshi waliokosa nidhamu ndio wanapenda sana kupiga raia
Ukizingua lazima uzinguliweAlafu sio poa hata kidogo
Raia nao waache chokochoko dhidi ya askariWanajeshi waliokosa nidhamu ndio wanapenda sana kupiga raia
Askari ni ndugu wanaotoka katika familia zetuRaia nao waache chokochoko dhidi ya askari
USA na Pentagon yao bado wanatoa msaada wa vifaa vya kijeshi kwa Israel mpaka leo hiiWayahudi walipewa msaada mkubwa sana na nchi za Ulaya na Marekani.
Hahahahaa hakuna Mhehe anaitwa Cohen. Wahehe wanakula mpaka mbwaUnabisha nini sasa wakati ni kweli aliitwa Cohen. Jina lako lipo kama la kihehe
Marekani ndio wanaochochea sana mgogoro uleUSA na Pentagon yao bado wanatoa msaada wa vifaa vya kijeshi kwa Israel mpaka leo hii
CIA ya Misri inaitwa MukhabaratCIA ya Misri ikamdaka
Raia na askari wanapaswa kuisha kwa kupendanaRaia nao waache chokochoko dhidi ya askari