Ni nani alifuatilia mauaji ya Giulio Regeni? Mwanafunzi wa Italia aliyetekwa nyara Misri kisha kuuawa kwa tuhuma za ujasusi

Nimejaribu kutafuta story ya huyu jamaa. Inawezekana sana alikuwa ajenti wa Israel. Alishakaa sana Misri, kwa kuja na kuondoka kabla hajaja mara ya mwisho alipodakwa.

Aliwahi kufika Israel na inasemwa alikuwa na totoz ya kule.

Alikuwa anafuatiliwa kwa muda mrefu na mashushushu wa Misri kabla hajatiwa nguvuni, kuteswa na kuuawa

Alikuwa yuko karibu sana na vijikundi vya mitaani, alijichanganya navyo sana

Inavyoonekana kujishughulisha na utafiti kama mwanafunzi wa PhD ilikuwa kama kijificho fulani ili aweze kufanya mishemishe yake bila kung'amuliwa
 
Nimejaribu kutafuta story ya huyu jamaa. Inawezekana sana alikuwa ajenti wa Israel. Alishakaa sana Misri, kwa kuja na kuondoka kabla hajaja mara ya mwisho alipodakwa.

Aliwahi kufika Israel na inasemwa alikuwa na totoz ya kule.

Alikuwa anafuatiliwa kwa muda mrefu na mashushushu wa Misri kabla hajatiwa nguvuni, kuteswa na kuuawa

Alikuwa yuko karibu sana na vijikundi vya mitaani, alijichanganya navyo sana

Inavyoonekana kujishughulisha na utafiti kama mwanafunzi wa PhD ilikuwa kama kijificho fulani ili aweze kufanya mishemishe yake bila kung'amuliwa
CIA ya Misri ikamdaka
 
Back
Top Bottom