Geofrey Andrew Sanga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 251
- 55
Watanzania na watanganyika wenzangu ni dhahiri suala la katiba mpya halikwepeki tena na kwa mjibu wa tume ya katiba 2014 tutakuwa na katiba mpya. Na lazima suala la serikali tatu litapita tu sasa mashaka ni kuwa tanganyika hatuna katiba sasa nashauri 2015 iundwe serikali ya mpito ya tanganyika wakati tukiandaa katiba mpya ya tanganyika au tanzania bara mnasemaje wadau kwa kuwa rasmu ya katiba haizungumzii muundo wa serikali ya tanganyika