2015: Ubunge kupitia CUF?

Topical

JF-Expert Member
Dec 3, 2010
5,174
935
Mimi ni mwanamageuzi wa siku nyingi napenda kugombea ubunge kupitia CUF mwaka 2015 jimbo moja mkoani manyara, vipi uungwaji wa CUF huko na mikakati gani natakiwa kufanya kuanzia sasa?

Tuache jokes niko serious!
 
Kama wewe ni mwana mageuzi kwanini
uulize hali ya Kule unapenda kutengenezewa
njia kwa nini usiingie bila woga mwenyewe?
Na kwanza umejiunga na ccm lenu moja
hofu ya nini? Njoo upambane kwa nguvu ya
hoja na uje umejipanga sio lele mama huku.
 
Kipre, kujipanga kunaanzia kwa kukudodosa ili wenye ufahamu wa hali ya siasa za huko hasa za upinzani wanijuze...
 
Mimi ni mwanamageuzi wa siku nyingi napenda kugombea ubunge kupitia CUF mwaka 2015 jimbo moja mkoani manyara, vipi uungwaji wa CUF huko na mikakati gani natakiwa kufanya kuanzia sasa?

Tuache jokes niko serious!
Ushauri wa bure kwanza andaa kanzu nyingi na vibandiko next uanze kuhudhuria madrasa kama bado.
 
Ushauri wa bure kwanza andaa kanzu nyingi na vibandiko next uanze kuhudhuria madrasa kama bado.
Asante kwa ushauri wako, ila una harufu ya udini vile....
Natafuta ubunge siyo kuwa imam wa msikiti..
 
Topical Mimi nikushauri Kama unaweza
kusoma matatizo ya msingi yanayolikabiri
taifa na mahali unapotaka kugombea na
kwamba unauwezo wa kujenga hoja za
kiushindani na kwamba unasukumwa na
umasikini wa mtz nenda bila hofu kalitum
ikie taifa .
 
Always Qunine write pumba. Ushauri wa bure, think twice before writting, unafikiria ukristo tu na kutukana wenzako unaona dili sana tu, kraize!
We unaetaka kwenda kugombea ubunge huko babati wakati hata hujui matatizo ya huko na sasa unaulizia kupia mtandao? kwa nii usigombee hapo ulipo ambapo unajua matatizo yao? Nashindwa pia kukufananisha na Qunine, Nawe piani kraize!
 
Always Qunine write pumba. Ushauri wa bure, think twice before writting, unafikiria ukristo tu na kutukana wenzako unaona dili sana tu, kraize!
We unaetaka kwenda kugombea ubunge huko babati wakati hata hujui matatizo ya huko na sasa unaulizia kupia mtandao? kwa nii usigombee hapo ulipo ambapo unajua matatizo yao? Nashindwa pia kukufananisha na Qunine, Nawe piani kraize!
Kujua matatizo najua mkuu lakini nafahamu pia JF ni source nzuri ya ku-share information..naweza kupata chochote ambacho kitawafaa watu wetu na demokrasia kwa ujumla
 
Mkuu kwa sasa una fanya shughuli gani? Meaning kama wewe ni mfanyabiashara au una kisomo katika kitu fulani.
Kama wewe ni mfanyabiashara nashauri uwa tumikie hao unao taka kuwa tumikia kupitia ubunge kwa kuwekeza biashara zako jimboni humu. Trust me utakuwa more effective kuliko kuwa mbunge kwa sababu uta toa ajira na hauta fungwa na itikadi na misimamo ya kichama. Pia pesa uta weza kuzi wekeza utakavyo wewe.
Kama una profession yako pia nakushauri utafute njia ya kuwa tumikia wananchi kupitia profession yako kama ina wezekana.

Nasema hivi kwa sababu siku hizi kila mtu ana fikiri kutumikia wananchi ni ubunge tu. Na pia I'm sorry to say wengi wa wanao tafuta ubunge wana tafuta jinsi ya kutoka kimaisha kwa kutumia mgongo wa "kuwa tumikia wananchi."

Kwa hiyo kabla huja gombea hebu jiulize. Je nagombea kuwa tumikia wananchi au kuji tumikia mwenyewe? Na kama nia ni kuwa tumikia wananchi jiulize je kuna njia nyingine ya kuwa tumikia wananchi zaidi ya ubunge? Fanya self reflection kwanza.
 
Always Qunine write pumba. Ushauri wa bure, think twice before writting, unafikiria ukristo tu na kutukana wenzako unaona dili sana tu, kraize!
We unaetaka kwenda kugombea ubunge huko babati wakati hata hujui matatizo ya huko na sasa unaulizia kupia mtandao? kwa nii usigombee hapo ulipo ambapo unajua matatizo yao? Nashindwa pia kukufananisha na Qunine, Nawe piani kraize!

Mkuu,
Hiyo thanks ni kwa hii"
We unaetaka kwenda kugombea ubunge huko babati wakati hata hujui matatizo ya huko na sasa unaulizia kupia mtandao? kwa nii usigombee hapo ulipo ambapo unajua matatizo yao? ....... Nawe piani kraize! "
 
Tuache jokes niko serious![/QUOTE]

I think you are joking!!!

Unataka kugombea ubunge halafu hujui hali ya kisiasa ya jimbo unalotaka kugombea? This is a big joke!
 
Mkuu kwa sasa una fanya shughuli gani? Meaning kama wewe ni mfanyabiashara au una kisomo katika kitu fulani.
Kama wewe ni mfanyabiashara nashauri uwa tumikie hao unao taka kuwa tumikia kupitia ubunge kwa kuwekeza biashara zako jimboni humu. Trust me utakuwa more effective kuliko kuwa mbunge kwa sababu uta toa ajira na hauta fungwa na itikadi na misimamo ya kichama. Pia pesa uta weza kuzi wekeza utakavyo wewe.
Kama una profession yako pia nakushauri utafute njia ya kuwa tumikia wananchi kupitia profession yako kama ina wezekana.

Nasema hivi kwa sababu siku hizi kila mtu ana fikiri kutumikia wananchi ni ubunge tu. Na pia I'm sorry to say wengi wa wanao tafuta ubunge wana tafuta jinsi ya kutoka kimaisha kwa kutumia mgongo wa "kuwa tumikia wananchi."

Kwa hiyo kabla huja gombea hebu jiulize. Je nagombea kuwa tumikia wananchi au kuji tumikia mwenyewe? Na kama nia ni kuwa tumikia wananchi jiulize je kuna njia nyingine ya kuwa tumikia wananchi zaidi ya ubunge? Fanya self reflection kwanza.

Nashukuru kwa ushauri wako, ubunge ni njia nyepesi zaidi kuwatumikia wananchi as long as unaweza ku mobilize watu watumie resorces zao na za nchi kwa njia nzuri..na hii si kwamba nadharau juhudi za mtu moja moja
 
Mkuu,
Hiyo thanks ni kwa hii"
We unaetaka kwenda kugombea ubunge huko babati wakati hata hujui matatizo ya huko na sasa unaulizia kupia mtandao? kwa nii usigombee hapo ulipo ambapo unajua matatizo yao? ....... Nawe piani kraize! "
Hapana ndugu matatizo ya Tanzania yanajulikana kila mahali, isipokuwa nilipenda kufahamu uhai wa chama katika maeneo hayo na challenges ambazo ningeweza kuzipata kwa wanaozifahamu na wanaopenda ku-share nami.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom