JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 1,890
- 1,126
Japan Nililipa $8200 + $30Basi iko vizuri sana. Mimi naenda Arusha na Rumion kwa 150K.
Vipi uliichukua kwa bei gani?
TRA; 17,652,260
Bandari na Agent nilitoa 1,100,000
Japan Nililipa $8200 + $30Basi iko vizuri sana. Mimi naenda Arusha na Rumion kwa 150K.
Vipi uliichukua kwa bei gani?
Fortuner zote zimetengenezwa na kaburu na nadhani ni gari nyingi sana hizo kama Ford ranger tuu sasa kwa nini usichukue hii toleo jipya la kuanzia 2017 inaweza kufika hapo au ikaongezeka kidogo tuu mimi naleta hizo gari Tanzania kila mara...ukiwa tayari nione Pm tuwasiliane zaidi..Mkuu salama?
Mkuu nawezaje kununua gari ya Kaburu hasa Fortuner iliyotengenezwa kwa Mandela?
Najua zina punguzo la kodi Bongo. Mfano, ukinunua Fortuner ya kuanzia 2015 pamoja na kodi hapa bongo ni zaidi ya 90m ila ukiondoa kodi inaweza kua around 60m.
Natamani sana hiyo gari ila namna ya kuzipata ndio changamoto.
Mkuu huwa una yard huku bongo?! Au unaleta kwa oda maalum?!Fortuner zote zimetengenezwa na kaburu na nadhani ni gari nyingi sana hizo kama Ford ranger tuu sasa kwa nini usichukue hii toleo jipya la kuanzia 2017 inaweza kufika hapo au ikaongezeka kidogo tuu mimi naleta hizo gari Tanzania kila mara...ukiwa tayari nione Pm tuwasiliane zaidi..
Naleta kwa order maalum ila nategemea kuwa na Yard hapo Arusha karibuni tuu..ila pia gari nazoweza kuleta bila order ni Land Cruiser maana zina soko kubwa ila hizi zingine mpaka utoe order...Mkuu huwa una yard huku bongo?! Au unaleta kwa oda maalum?!
Shukurani kakaNaleta kwa order maalum ila nategemea kuwa na Yard hapo Arusha karibuni tuu..ila pia gari nazoweza kuleta bila order ni Land Cruiser maana zina soko kubwa ila hizi zingine mpaka utoe order...
Karibu mkuuShukurani kaka
Nakufuata PM kwa maelezo zaidi!