life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,031
.
Wangu lazima tule bata humo, warembo wa kufa mtu
Mazingira yanaruhusu, hamna kipindupindu humoKipindupindu kikiingia humo kwenye hiyo cruiseship inakuwa balaa!!!
Hapa ndipo sehemu yakuonesha matumizi ya note.
Habibi Utafiti Ujaaliwe cruzer lako na uliegeshe pale malindi port!! halafu unipe ajira lakufuta vumbi!!!! ha ha ha oyayaa!!Ni binadamu kama sisi ndo wana maisha haya au ni viumbe wengine?
Habibi Utafiti Ujaaliwe cruzer lako na uliegeshe pale malindi port!! halafu unipe ajira lakufuta vumbi!!!! ha ha ha oyayaa!!
AMINHapana kaka me sitaki izo stress, me niombee nikazipate peponi, na wewe na uwapendao wote
hivi kwa hapa tanzania kuna mwanadada ambaye ana-worth kupelekwa kwenye hii ship kweli?
Ni binadamu kama sisi ndo wana maisha haya au ni viumbe wengine?
Mkuu hilo ship likiparki pale bandarini Dar.... maonyesho Furahaipoje kutembelea wewe na wanafamilia na wapendanao pia...!hivi kwa hapa tanzania kuna mwanadada ambaye ana-worth kupelekwa kwenye hii ship kweli?
msijenge chuki ni mtazamo wangu tu!!!!!!!!!!