Madudu ya ajabu hufanyika usiku huu tunajaribu kutahadharisha, na kinga madhubuti licha ya nidhamu ya kuishikisha adabu miili yetu, kuruhusu mwamko na kutimiza haja zake ni kujichimbia kaburi.
Shirikisha ujume kwa walengwa, sikukuu hizi kunafanyika ngono zembe na wakishalewa huwa akili za wengi kama retarded or under influence, hivi hata tahadhari hawachukua bali kuridhia msukumo wa nature na wakishamaliza ndipo wanapokumbuka kwamba kuna kitu muhimu kinga imesahaulika.
Kwa nia njema tu na kusoma ishara za nyakati katika sikukuu kama hizi za mikesha ya kusubiria kuanza mwaka kuna maajarbu ya wenye jinsia tofauti kukaribiana na furaha inapozidi hasa baada ya kushusha moto na baridi kinga husahaulika, maana siku hizi bora kukazania watu kinga kuliko kuvimbishia mishipa kukataza kugonoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.