Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
Wanajamvi! Nimesikia ya kuwa majina ya pc waliofutiwa usajili wao wa kufanya mtihani feb 2013 kwa sababu mbalimbali yameshatoka. But unlucky hakuna tangazo necta wala moe. Je hz taarifa zna ukweli?