mkosa yote
JF-Expert Member
- Nov 9, 2018
- 494
- 1,052
Mwita aliandamana peke yake kudai bumu liongezwe toka 5000 hadi 10000 ila akakamatwa kabla ya kufika Bodi ya mikopo.Kipindi hicho alishab alikua hasikiki.Baada ya kukakamatwa ndio vuguvugu la kudai bumu liongezwe likaibuka chuo.Aliyeandamana peke yake ni Ndunguru au Mwita?
Nakumbuka Kipindi hicho waziri wa elimu alikuwa shukuru kawambwa akaja chuo na kukubali kupandisha hadi 7500.Mwita ni mmoja wa waliyeuliza swali siku hiyo
Nakumbuka mwaka huo CoET walikuwa na mgomo wao wa kutaka mwanafunzi mwenzao arudishwe baada ya kudisco kwa kukamatwa na kibum kwenye UE.
Mgomo wa CoET ulisababishwa wafukuzwe chuo.