ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,493
- 27,735
UdSM...it won't change anythingSio udsm ni UDSM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UdSM...it won't change anythingSio udsm ni UDSM.
Hiki chuo unachokizungumzia hakipo Tanzania, kama kipo then prove me wrong. Otherwise relax.UdSM...it won't change anything
Sio tu kipo tumesoma hapo...usiwe oversensitive kwenye chatting za jf....hatufundishani silabi wala sarufi wapi pa kuweka herufi kubwa ama ndogo humu....Hiki chuo unachokizungumzia hakipo Tanzania, kama kipo then prove me wrong. Otherwise relax.
Organization TheoryDr Ambrossy Kessy alikuwa anamsaidia kufundisha nini mukandala wakati huo local government o orgazationa theory/public administration n bureaucracies?
Kiongozi hata picha tu inatoshajina lake lilikua halifahamiki kwa hiyo hata utawala walipata shida sana kumdhibiti mana hawajui ni nani wala anasoma kozi gani, alisumbua sana.
Siku zimepita ,huyu jamaa alikuwa mweusi ana mwili mdogo sana. Alikuwa anatembea na nyaraka za serikali kiasi kwamba Kila mtu alimshangaa kuwa alizipata wapi hizo nyaraka.Kiongozi hata picha tu inatosha
Watu kama nyinyi huwa hamkosekani
Una bahati hatukukamata mkuuSiwezi kufuata mkumbo. Ninafuata ninachokiamini
Una bahati hatukukamata mkuu
Ni mwanamke au mwanaume??Siku zimepita ,huyu jamaa alikuwa mweusi ana mwili mdogo sana. Alikuwa anatembea na nyaraka za serikali kiasi kwamba Kila mtu alimshangaa kuwa alizipata wapi hizo nyaraka.
Uwezo wake wa kujieleza na kujenga hoja haukuwa wa kawaida. Ni kijana jasiri kuliko maelezo.
We mwanasheria koko.....unakwamisha harakatiMngenikamataje wakati mimi ni mwenyeji wa Dar?
Yaani watu mmetoka mikoani huko hata majina ya barabara hamjui halafu mje kupambana na mimi??
Wazidi nitia hasira umenitonesha swala la uenyeji wa dar natamani nikufikie kwenye izo keyboards zako nikupe walau amba cut na jabu mbili tatu.Mngenikamataje wakati mimi ni mwenyeji wa Dar?
Yaani watu mmetoka mikoani huko hata majina ya barabara hamjui halafu mje kupambana na mimi??
Daah basi pole sana hadi nimekuonea huruma.Wazidi nitia hasira umenitonesha swala la uenyeji wa dar natamani nikufikie kwenye izo keyboards zako nikupe walau amba cut na jabu mbili tatu.
Boda boda mmoja mpuuzi sana nimetua zangu ubungo terminal tokea shinyanga, namwambia anipeleke udsm nauli shingapi akaniambia 10k. Nikamwambia poa akanipeleka pitia shekilango road tukakatiza sinza iyo yote tukaenda kunjia njia ya TRA mwenge tukaingia Sam nujuma road ardhi university then utawala. Mda wa kurudi kidogo tena nichukue bodaboda 10k ya kunipeleka Ubungo then nipande magari ya Vingunguti yaliyokuwa yanapitia buguruni kwa mnyamani.
Rafiki yangu mmoja akaniambia
Kuna hii shortcut tukapitia zetu pale Coet, geti maji Ubungo iyo. Mpaka Leo yule boda boda huwa najiuliza alifikiria nini kunizungusha sinza mwenge uko wakati njia ya karibu ilikuwa anaijua
Shikamoo mjini
Wazidi nitia hasira umenitonesha swala la uenyeji wa dar natamani nikufikie kwenye izo keyboards zako nikupe walau amba cut na jabu mbili tatu.
Boda boda mmoja mpuuzi sana nimetua zangu ubungo terminal tokea shinyanga, namwambia anipeleke udsm nauli shingapi akaniambia 10k. Nikamwambia poa akanipeleka pitia shekilango road tukakatiza sinza iyo yote tukaenda kunjia njia ya TRA mwenge tukaingia Sam nujuma road ardhi university then utawala. Mda wa kurudi kidogo tena nichukue bodaboda 10k ya kunipeleka Ubungo then nipande magari ya Vingunguti yaliyokuwa yanapitia buguruni kwa mnyamani.
Rafiki yangu mmoja akaniambia
Kuna hii shortcut tukapitia zetu pale Coet, geti maji Ubungo iyo. Mpaka Leo yule boda boda huwa najiuliza alifikiria nini kunizungusha sinza mwenge uko wakati njia ya karibu ilikuwa anaijua
Shikamoo mjini
We mwanasheria koko.....unakwamisha harakati
Mkuu usichekeHaaaa, haaa
Mkuu usicheke
Mimi nilikaribishwa dar saalam haswa haswa
Baada ya Boom kutoka nikaingizwa mjini
pale sheli ya oilcom ubungo kupenda vya bei chee uku niliuziwa simu amabayo ndani nilikuta kipande cha sabuni
Baada ya tukio hilo na nilikuwa tiyari nimenunua laptop,maisha yalikuwa magumu ñakumbuka nilikuwa nakula zangu rb tu karibu miezi miwili cafeteria tu, kwaiyo nilivyokuwa nikisikia maandamano ya kudai hela nami nilikuwa na sapport haswa haswa sababu ya situation zangu za maisha kuwa ngumu
Tena nilikuwa naomba migomo itokee kipindi ambacho test nyingi za mitihani zinapotangazwa
Wazidi nitia hasira umenitonesha swala la uenyeji wa dar natamani nikufikie kwenye izo keyboards zako nikupe walau amba cut na jabu mbili tatu.
Boda boda mmoja mpuuzi sana nimetua zangu ubungo terminal tokea shinyanga, namwambia anipeleke udsm nauli shingapi akaniambia 10k. Nikamwambia poa akanipeleka pitia shekilango road tukakatiza sinza iyo yote tukaenda kunjia njia ya TRA mwenge tukaingia Sam nujuma road ardhi university then utawala. Mda wa kurudi kidogo tena nichukue bodaboda 10k ya kunipeleka Ubungo then nipande magari ya Vingunguti yaliyokuwa yanapitia buguruni kwa mnyamani.
Rafiki yangu mmoja akaniambia
Kuna hii shortcut tukapitia zetu pale Coet, geti maji Ubungo iyo. Mpaka Leo yule boda boda huwa najiuliza alifikiria nini kunizungusha sinza mwenge uko wakati njia ya karibu ilikuwa anaijua
Shikamoo mjini
Ili ulichokipata na wengine kiwapate au?Kusema kweli ule ujinga siwezi fanya tena kipindi kile nilikua na misimamo ya kipuuzi sana,mwisho wa siku nimekuja kusoma chuo kingine bila mkopo na mzigo wote nikawabebesha wazazi wangu
Ila rev square ni jukwaa ambalo ulitakiwa liendelezwe hadi kesho
Iyunga kwa kisusange enzi izoWatu tumesoma kwa shida huyu jamaa hajui
Enzi hizo iyunga technical
Ndoo mbili mabwen saba ...