spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
Wanasiasa wanakoipeleka hii Tanzania siyo,
Pazeni sauti, umeme bei ikipanda, bei ya mkate pia itakuwa juu,
Kataeni Ufisadi, asiye na Kipato lazima atakuwa Kibaka.
Licha ya Mvua kutonyesha,bado sisi viongozi wetu wanaendelea kuwa manyapara wa mafisadi.
Kila kitu, tunampa huyo mhindi hadi PPF zetu tumemwachia.
Napata hofu sana, vibaka watakuwa wengi mitaani,ujambazi utakuwa hatari sana.
Jameni jameni amkeni,
Nchi imekwenda
Pazeni sauti, umeme bei ikipanda, bei ya mkate pia itakuwa juu,
Kataeni Ufisadi, asiye na Kipato lazima atakuwa Kibaka.
Licha ya Mvua kutonyesha,bado sisi viongozi wetu wanaendelea kuwa manyapara wa mafisadi.
Kila kitu, tunampa huyo mhindi hadi PPF zetu tumemwachia.
Napata hofu sana, vibaka watakuwa wengi mitaani,ujambazi utakuwa hatari sana.
Jameni jameni amkeni,
Nchi imekwenda