Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Hivi unafikiri hadi hivi sasa sijui ndugu zangu ambao ni sehemu ya ufisadi huu? Unafikiri ninaangalia damu yangu ili kujua kama nikemee au la. Sina umoja wa aina yoyote wa kidini, kidamu, kilugha, kirangi au kimahali na anayeshiriki kwenye ufisadi. Wana matatizo wenye kuangalia fisadi kwa minajili ya dini, rangi, kabila au urafiki wao. Kama hii kweli ni vita basi ichukuliwe kama hivyo. Ndugu aliyeungana na adui siyo ndugu yangu tena!
Mwanakijiji:
Don't get me wrong. Ninapojibu posti yako, sina maana ya kukutaja wewe binafsi. Kwa hakika kuna watu wachache sana ambao wanaweza kutenda haki bila kuangalia dini, rangi, kabila au urafiki wao. Na initiatives nyingi zinakwamia hapa.