Hata asimame nani ninani awezae kushindana na National Electoral Commission (R.R. Kiravu na Justice Lewis M. Makame) ni kujidanganya tu kama haijaondoka tume hii ya CCM basi ni sawa na kutwanga maji hakuna Looooooooooooteeeeeeee ni CCM mpaka kiyama madamu mchezaji ni CCM na muamuzi pia ni CCM utakuwa ni uleule usanii