2010 je wanajf wangapi wamejitoa kwa ajili ya mabadiliko?

MtazamoWangu

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
313
7
Wana JF nawasalimu wote.

ni Mtazamowangu kwamba tumekuwa waelimishaji,wachambuzi,wakosoaji,waelevu, walekezaji wazuri sana kupitia Forum hii katika masuala yote ya kijamii,kisiasa,utamaduni,kiuchumi....
viongozi wengi wa kisiasa,kidini,kijamii na wengine wamekuwa wakitumia forum hii katika kupata mawazo mbadala,kujenga hoja zao na mengine mengi.
JF pia kwa asilimia kubwa tumekuwa wasemaji wazuri sana kuhusu uongozi tuliokuwa nao, kwa mtazamo wangu nimeona asilimia kubwa sana hatujarizika na utendaji wa uongozi wetu wa nchi na hatufurahishwi na vitendo vingi sana vinavyofanya na viongozi wetu wa serikali na idara zake, kwa maana hiyo tunakubaliana kama tunahitaji mabadiliko.
huu ni mwaka 2010, mwaka ambao tutafanya uchaguzi wa viongozi wetu, ni nafasi kubwa sana kwetu kuinfluence changes, but ALLWAYS CHANGES BEGIN WITH YOU....
NATAKA TU NIJUE JE WANAJF WANGAPI WAMEJITOLEA KUGOMBEA NGAZI TOFAUTI KATIKA KUTAKA KULETA MABADILIKO?
2. JE WATAKAO JITOKEZA TUTAKUWA TAYARI KUWASAIDIA? KIUSHAURI,KIUCHUMI,KISIASA..NK
3. AU JE TUNA MUONGOZO GANI KATIKA KUTAKA KULETA MABADILIKO AU KUONGEA TU HAPA INATOSHA?

ASANTENI,

kumbuka ni mtazamo wangu tu......
 
Changamoto ni nzuri lakini ni vigumu kuahidi kumsapoti mtu ambaye hajajitokeza. Suala la msingi hapa ni kwamba watu wajitokeze, tuwaone, tuwapime uwezo wao na watupe mitazamo na malengo yao ndipo tunaweza ku judge kama wanatufaa, au wanahitaji kitu gani ili waweze kufaa, kwa hivyo ni mapema kusema chochote kwa sasa mpaka hapo watakapo jitokeza.
 
Wana JF nawasalimu wote.

ni Mtazamowangu kwamba tumekuwa waelimishaji,wachambuzi,wakosoaji,waelevu, walekezaji wazuri sana kupitia Forum hii katika masuala yote ya kijamii,kisiasa,utamaduni,kiuchumi....
viongozi wengi wa kisiasa,kidini,kijamii na wengine wamekuwa wakitumia forum hii katika kupata mawazo mbadala,kujenga hoja zao na mengine mengi.
JF pia kwa asilimia kubwa tumekuwa wasemaji wazuri sana kuhusu uongozi tuliokuwa nao, kwa mtazamo wangu nimeona asilimia kubwa sana hatujarizika na utendaji wa uongozi wetu wa nchi na hatufurahishwi na vitendo vingi sana vinavyofanya na viongozi wetu wa serikali na idara zake, kwa maana hiyo tunakubaliana kama tunahitaji mabadiliko.
huu ni mwaka 2010, mwaka ambao tutafanya uchaguzi wa viongozi wetu, ni nafasi kubwa sana kwetu kuinfluence changes, but ALLWAYS CHANGES BEGIN WITH YOU....
NATAKA TU NIJUE JE WANAJF WANGAPI WAMEJITOLEA KUGOMBEA NGAZI TOFAUTI KATIKA KUTAKA KULETA MABADILIKO?
2. JE WATAKAO JITOKEZA TUTAKUWA TAYARI KUWASAIDIA? KIUSHAURI,KIUCHUMI,KISIASA..NK
3. AU JE TUNA MUONGOZO GANI KATIKA KUTAKA KULETA MABADILIKO AU KUONGEA TU HAPA INATOSHA?

ASANTENI,

kumbuka ni mtazamo wangu tu......

mimi nilishajitokeza siku nyingi tu. najua sijaweka mambo mengi hadharani lakini tuvute subira kwani muda muafaka karibu unafika.

mapema mwezi ujao (february) nitarejea nyumbani na kutangaza rasmi nia yangu hiyo na jimbo ninalogombea. tuvute subira, bado kama wiki tatu hivi
 
Ngoja zianze kugawiwa tshirts na pilau hapa, uone hadi matundiko yatavyobadilika kumsifia nanihiino!..

Baadhi ya watu hapa wana hasira coz wana njaa!..Kalagabaho!
 
mimi nilishajitokeza siku nyingi tu. najua sijaweka mambo mengi hadharani lakini tuvute subira kwani muda muafaka karibu unafika.

mapema mwezi ujao (february) nitarejea nyumbani na kutangaza rasmi nia yangu hiyo na jimbo ninalogombea. tuvute subira, bado kama wiki tatu hivi

afu na weewe hata mimi unanificha ndo nini sasa!!! anyway ukimwaga details hapa kama zipo kwenye mrengo wangu...why not????
 
Ni vigumu kuwajua kwani huenda user names zao katika JF sizo zitatumika katika kugombea.

Ni wachache hapa JF tunatumia majina yetu halisi.
 
naogopa wenye mali yao wasije wakanishukia kama mwewe!!!!!!!!!!!

mimi mali ya Mungu tu!!! shauri yako kura yangu will make a huge difference!!! ila sitaki mambo ya kutudanganya na pilau n stuff hapo utanikosa kabisa!!! uza sera ziuzike tu basi. hatutak ilongolongo kama za prof J hapa!!!
 
Wana JF nawasalimu wote.

ni Mtazamowangu kwamba tumekuwa waelimishaji,wachambuzi,wakosoaji,waelevu, walekezaji wazuri sana kupitia Forum hii katika masuala yote ya kijamii,kisiasa,utamaduni,kiuchumi....
viongozi wengi wa kisiasa,kidini,kijamii na wengine wamekuwa wakitumia forum hii katika kupata mawazo mbadala,kujenga hoja zao na mengine mengi.
JF pia kwa asilimia kubwa tumekuwa wasemaji wazuri sana kuhusu uongozi tuliokuwa nao, kwa mtazamo wangu nimeona asilimia kubwa sana hatujarizika na utendaji wa uongozi wetu wa nchi na hatufurahishwi na vitendo vingi sana vinavyofanya na viongozi wetu wa serikali na idara zake, kwa maana hiyo tunakubaliana kama tunahitaji mabadiliko.
huu ni mwaka 2010, mwaka ambao tutafanya uchaguzi wa viongozi wetu, ni nafasi kubwa sana kwetu kuinfluence changes, but ALLWAYS CHANGES BEGIN WITH YOU....
NATAKA TU NIJUE JE WANAJF WANGAPI WAMEJITOLEA KUGOMBEA NGAZI TOFAUTI KATIKA KUTAKA KULETA MABADILIKO?
2. JE WATAKAO JITOKEZA TUTAKUWA TAYARI KUWASAIDIA? KIUSHAURI,KIUCHUMI,KISIASA..NK
3. AU JE TUNA MUONGOZO GANI KATIKA KUTAKA KULETA MABADILIKO AU KUONGEA TU HAPA INATOSHA?

ASANTENI,

kumbuka ni mtazamo wangu tu......
Mkuu,

Kama unataka kufanya mabadiliko yoyote Tanzania, wewe fanya tu bila kutegemea msaada au kuungwa mkono hapa JF. Kwa kiasi kikubwa tegemea watu wengi wa kukupinga kuliko kukuunga mkono.

Kama una imani na mabadiliko unayotaka kufanya, wewe fanya na watu wakiona ndio watakuunga mkono. Many Tanzanians are laggards and not Innovators, wanachukua muda kujua wamuunge mkono nani na wanaunga mkono watu ambao tayari wana mafanikio na sio wale wanaotaka kufanya mabadiliko. Ni rahisi kumuunga mkono Magufuli ambaye wanamjua kuliko kijana mpya ambaye ana promise change.

Watu wengi wanashindwa hata kujitokeza hapa JF kwasababu ya kuogopa kushambuliwa na mafisi na masimba ambayo yana interests upande mmoja ama mwingine.

Pia elewa kwamba Watanzania wengi ni mabingwa wa kusema; ikija vitendo ni sifuri. Ukiamua kufanya jambo usitegemee hawa Watanzania watakuunga mkono kwa vitendo. Ukiwa na bahati utaungwa mkono kwa maneno matupu. Lakini kama huna bahati utaungwa mkono kwa matusi na kejehi.

Mabadiliko yoyote lazima yalenge watu ambao unataka mabadiliko hayo yawaguse. Ukitaka kulenga hapa JF utakatishwa tamaa baada ya wiki moja tu.
 
Mkuu,

Kama unataka kufanya mabadiliko yoyote Tanzania, wewe fanya tu bila kutegemea msaada au kuungwa mkono hapa JF. Kwa kiasi kikubwa tegemea watu wengi wa kukupinga kuliko kukuunga mkono.

Kama una imani na mabadiliko unayotaka kufanya, wewe fanya na watu wakiona ndio watakuunga mkono. Many Tanzanians are laggards and not Innovators, wanachukua muda kujua wamuunge mkono nani na wanaunga mkono watu ambao tayari wana mafanikio na sio wale wanaotaka kufanya mabadiliko. Ni rahisi kumuunga mkono Magufuli ambaye wanamjua kuliko kijana mpya ambaye ana promise change.

Watu wengi wanashindwa hata kujitokeza hapa JF kwasababu ya kuogopa kushambuliwa na mafisi na masimba ambayo yana interests upande mmoja ama mwingine.

Pia elewa kwamba Watanzania wengi ni mabingwa wa kusema; ikija vitendo ni sifuri. Ukiamua kufanya jambo usitegemee hawa Watanzania watakuunga mkono kwa vitendo. Ukiwa na bahati utaungwa mkono kwa maneno matupu. Lakini kama huna bahati utaungwa mkono kwa matusi na kejehi.

Mabadiliko yoyote lazima yalenge watu ambao unataka mabadiliko hayo yawaguse. Ukitaka kulenga hapa JF utakatishwa tamaa baada ya wiki moja tu.


thanks mkuu, you have said it all.....ila lazima kama forum tusiwe waongeaaji tuuu, hapa ndani kuna vichwa vingi sana vya maana japo huwezi kujua wanatokea pande zipi za itikadi.....

asante sana....
 
Code:
naogopa wenye mali yao wasije wakanishukia kama mwewe!!!!!!!!!!!
Code:

Kama unaogopa joto, usikae jirani na jiko!
icon10.gif
 
hamna cha kujitoa hapa.
WANA-JF MKO AROUND 12000 mliojisajili..tuweke hata 30000,halafu kuna influencial figures hawazidi watano.halafu KISIASA kuna mhimili mmooja ambao kila mwana jf AMEUEGEMEA(mwanakijiji)!kibaya zaidi ni kwamba huyu mtu hayupo tanzania FIZIKALE.na nina uhakika HAYUKO TAYARI KUONYESHA SURA YAKE(pamoja na kwamba tunamtegemea sana)!........ASILIMIA KUBWA YA WANA JF NI MAMLUKI WA SERIKALI ILIYO MADARAKANI,kazi yao ni kupindisha facts humu ndani,na kuuzima moto wa mabadiliko

........bado sana wazee!
 
hamna cha kujitoa hapa.
WANA-JF MKO AROUND 12000 mliojisajili..tuweke hata 30000,halafu kuna influencial figures hawazidi watano.halafu KISIASA kuna mhimili mmooja ambao kila mwana jf AMEUEGEMEA(mwanakijiji)!kibaya zaidi ni kwamba huyu mtu hayupo tanzania FIZIKALE.na nina uhakika HAYUKO TAYARI KUONYESHA SURA YAKE(pamoja na kwamba tunamtegemea sana)!........ASILIMIA KUBWA YA WANA JF NI MAMLUKI WA SERIKALI ILIYO MADARAKANI,kazi yao ni kupindisha facts humu ndani,na kuuzima moto wa mabadiliko

........bado sana wazee!
scary man!!!!!!!!!!!!!!
 
hamna cha kujitoa hapa.
WANA-JF MKO AROUND 12000 mliojisajili..tuweke hata 30000,halafu kuna influencial figures hawazidi watano.halafu KISIASA kuna mhimili mmooja ambao kila mwana jf AMEUEGEMEA(mwanakijiji)!kibaya zaidi ni kwamba huyu mtu hayupo tanzania FIZIKALE.na nina uhakika HAYUKO TAYARI KUONYESHA SURA YAKE(pamoja na kwamba tunamtegemea sana)!........ASILIMIA KUBWA YA WANA JF NI MAMLUKI WA SERIKALI ILIYO MADARAKANI,kazi yao ni kupindisha facts humu ndani,na kuuzima moto wa mabadiliko

........bado sana wazee!
Tatizo ni wewe unayeogopa kivuli chako..badilika wewe acha kuogopa wanaJF kwa hisia kwamba wanapindisha mambo..

Nani kakwambia mabadiliko ni lelemama kazi buti.
 
Back
Top Bottom