mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,174
I think its about time tukaamua kama chombo kwenye uchaguzi wa 2010 tunasupport Vijana au wazeee
by Vijana simaanishi akina calibr ya akina Lawrence Masha (alishapata nafasi na alishindwa na si Kijana anymore) balli ninamaanisha Vijana ambao wako UNDER 36 yrs regardless of chama kipi wanakiwakilisha
In otherwords tunaendelea na BACK TO THE SAME au NEW BLOOD
lakini its about time tukaamua tuko upande upi.
by Vijana simaanishi akina calibr ya akina Lawrence Masha (alishapata nafasi na alishindwa na si Kijana anymore) balli ninamaanisha Vijana ambao wako UNDER 36 yrs regardless of chama kipi wanakiwakilisha
In otherwords tunaendelea na BACK TO THE SAME au NEW BLOOD
lakini its about time tukaamua tuko upande upi.