Mwaka ndy huoo unayoyoyoma. hebu jaribu kufikiria ni kitu gani kimetukia ndani ya mwaka huu kilichokugusa saaana, aidha yin au yang, kizuri ama kibaya. Binafsi nachukia sana mwaka kuisha, kwani ni hatua moja kuelekea uzee na kifo! wewe je! TUAMBIE
nimetaja KIFO tu, watu washani PM eti nywele zinawasisimka!! usawa huu kufa wakati maisha ndiyo kwaanza yanaanza kuwa matamu!!!!! lol lol mkuu!! teh teh
..Nimechukia sana ajali zilizohusisha mabasi ya Mohamed Trans kule korogwe na ile ya Same last week! Kwa kweli inaniuma jinsi ambavyo binadamu wenzetu walivyopukutika vibaya bado naitupia lawama serikali kupitia TBS ina maana haya matairi yanayotumiwa wamethibitisha ubora wake?? Mi siogopi kifo bali naogopa maumivu na ulemavu unaosbabishwa na ajali hizo..
Na bado...February 2010 mtu wa hapa JEIEFU anabeba kitu na boksi, na mchango wako ni cornerstone!. ...Naomba uondoe wazo la kuisha kwa michango hii , maana ndo kwanza safari inaanza!..BTW, are you already a member of the married-club?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.