2008 Kwa Mujibu wa Shetani

Shetani

Member
Oct 23, 2007
29
0
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema
 
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema

I think ur right for over 90%....
 
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozw

TUNASHUKURU KWA MAONI HAYA , KAMA UNAONA HAUNA JIPYA HATA HILI ULILOTOA WEWE JIPYA NA NI MCHANGO KWAHIYO HATUKOSI KUWA NA JIPYA KWA SABABU HILI NI JUKWAA HURU KULA MTU ANA UHURU WA KUSEMA CHOCHOTE ANACHOTAKA ILA ALITUKANE , ASIDHALILISHE WALA KUTUMIA LUGHA YOYOTE CHAFU AMBAYO INAWEZA KULETA MAUZI AU KUHARIBIA JAMII HUSIKA MOOD YA KUENDELEA NA KILA KILICHOKUWA JUKWAANI .


SHETANI USIKATE TAMAA KWA KUWA UNAONA KUNA POST KIDOGO LABDA UNASHINDWA KUKOPY NA KWENDA KUPEST KATIKA MAILING LIST YAKO AU KWA JAMAA ZAKO WENGINE .

WAKATI MWINGINE JITAIDI KUANDIKA YAKO AU TTUNGA YAKO LETA JUKWAANI AU WEKA KATIKA MAILING LIST YAKO

HALAFU PIA SIO LAZIMA KILA KITU UPATE JAMBO FORUM UNAJUA HII NI AFRIKA MASHARIKI KUNA UGANDA , KENYA , BURUNDI , RWANDA WOTE HAWA WANAFORUM ZAO NA VIJIWE VYAO UNAWEZA KUTOA HUKU UNALETA HUKU MAISHA YANAENDA

USITEGEMEE TU CCM NA CHADEMA -- TANZANIA SIO YA CCM WALA CHADEMA PEKEE KUNA MENGI YA KUONGELEA NA KUJADILI

MWISHO WA SIKU WEWE JIULIZE FANI YAKO JE WEWE NI MWALIMU ? KUNA JUKWAA LA ELIMU , WEWE NI MCHUMI KUNA JUKWAA LA UCHUMI , WEWE NI MWANDISHI KUNA JUKWA LA HOJA NZITO JE WEWE NI MWANAMTANDAO KAMA MIMI KUNA FUNGU LAKO LA SAYANSI NA TEKILOLOIA

SIO LAZIMA SIASA
 
shetani bwana umenifanya nikate mbavu kinoma.

wewe kweli shetani unaona tusioyaona
 
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema

Then ndoto ikaendeleaje shetani?
 
Then ndoto ikaendeleaje shetani?

Ndoto iliisha kwasababu uliiba mchele ndani kwenu ukaenda kujipikilisha kwenye vikopo vya TanBond.

We shy hayo maandishi ya herufi kubwa ni kinyume na ustaarabu wa kwenye intaneti,badilika.
 
Unajua watu wanachukulia masihara haya yaliyotajwa na Shetani, lakini kuna ukweli mkubwa katika utabiri wake!
 
Hahahaha,

Nilipoona Mchungaji kachangia mada ya shetani nilikumbwa na shauku ya kutaka kujua anachangia nini.

Nikafikiri atamkemea kwa jina la Yesu.

Kufungua mada, kumbe anamuunga mkono!

Vituko vya JF, Mchungaji na Shetani waungana!
 
Unajua watu wanachukulia masihara haya yaliyotajwa na Shetani, lakini kuna ukweli mkubwa katika utabiri wake!

Kwa hiyo unaafiki kuwa rafiki yako Mwanakijiji mwaka huu atachanganyikiwa akili na kurudi bongo kuanzisha kanisa lake?
 
Hahahaha,

Nilipoona Mchungaji kachangia mada ya shetani nilikumbwa na shauku ya kutaka kujua anachangia nini.

Nikafikiri atamkemea kwa jina la Yesu.

Kufungua mada, kumbe anamuunga mkono!

Vituko vya JF, Mchungaji na Shetani waungana!


tehe tehe the, sasa hapo sijui mwenye nguvu ni nani hadi sasa?
 
hahahahaha mwe,
natabiri kuwa mwaka 2008 wachungaji wengi watadhihirika wazi kuwa wako idara moja na shetani.
we shetani ushindwe kwa majina yoote ya Mungu na hakika uende kuzimu na mautabiri yako ya nuksi yashindwe.
hatutaki afe mtu mwaka huu na pia hatutaki migogoro ya kisiasa nchini kwetu na hakika ukemewe wewe
 
Hahahaha,
Nilipoona Mchungaji kachangia mada ya shetani nilikumbwa na shauku ya kutaka kujua anachangia nini.
Nikafikiri atamkemea kwa jina la Yesu.
Kufungua mada, kumbe anamuunga mkono!
Vituko vya JF, Mchungaji na Shetani waungana!

Pundit,

Shetani anaweza kuwa anakera sana na hata kusumbua umma. Lakini kupuuzia ayasemayo (yawe bora au pumba) ni upungufu wa hekima!
 
Shetani anaudhi na kuchekesha at the same time, lakini hata mimi hilo la chama cha mrengo wa kushoto nimelisikia japokuwa wajumbe wake sijawasikia!
 
duh jamani nimecheka mpaka basi.

shetani na wenziwe wananichekesha kinoma.


mkjj pole sana kama upo njoo uone maono ya shetani
 
Kwa hiyo unaafiki kuwa rafiki yako Mwanakijiji mwaka huu atachanganyikiwa akili na kurudi bongo kuanzisha kanisa lake?

Nyani Ngabu,

Hata katika urafiki wangu na Mwanakijiji, kuna mambo tunatofautiana na hatukubaliani. kanisa atakaloanzisha ni kanisa la Kujenga Taifa!

Kwani hilo kanisa ni lazima liwe kama la Kakobe, Lwakatare au Mwakasege? Kama ni kuchanganyikiwa, mbona ni wengi tuliochanganyikiwa? hakuna binaadamu aliye timilifu (perfect)! kila mmoja wetu ana mapungufu yake na mazuri yake. Kutofautiana mtazamo, maoni au hoja au namna ya kufikiri na utendaji ni haki yetu.
 
Shetani anaudhi na kuchekesha at the same time, lakini hata mimi hilo la chama cha mrengo wa kushoto nimelisikia japokuwa wajumbe wake sijawasikia!

Binti Maria,

Ndio maana nimesema kuna mengine aliyoyasema Shetani ni ya msingi na si kupuuzia. Inawezekana kabisa alitaka kututajia nyeti tano lakini kazifanya kumi ukiongeza upupu ndo maana watu wamchukulia kimasihara!

Hili la chama cha mlengo wa kushoto, hata mimi nimelihisi na nitakuwa wa kwanza humu ndani kukimbilia uanachama na kumuacha Mnyika solemba na Chadema yake :)
 
hilo la kuanzisha Kanisa nadhani halikko mbali sana na ukweli hasa ukizingatia kuwa uchungaji nilisomea Makumira... tatizo ni Kitabu gani tutatumia, na ujumbe wake utakuwa ni nini...

Lazima liwe Kanisa tofauti sana na makanisa mengine.. na hivyo waumini kama Shetani wanaruhusiwa as long as wanaamini katika jina la kanisa hilo... sasa sijui kama mambo ya kukemea mapepo yataruhusiwa.. ?

Ila utabiri wa Shetani unaweza kuwa kweli kwenye mambo mengi.. maana huwezi kujua maana kwenye Ayubu tunaambiwa kuwa SHetani alijipitisha pitisha mbele za Mungu na kumsikia Mungu akimsifia Ayubu.. so you never know what our Shetwan might have heard...
 
Huyo anayejiita Shetani,anaweza kuwa SIO Shetani kama jina lake lilivyo!!,Pitieni Maandishi yake kwenye mistari,kuna message Nzito kaileta hapo!!!.Itunzeni Thread hii.
 
hilo la kuanzisha Kanisa nadhani halikko mbali sana na ukweli hasa ukizingatia kuwa uchungaji nilisomea Makumira... tatizo ni Kitabu gani tutatumia, na ujumbe wake utakuwa ni nini...

Lazima liwe Kanisa tofauti sana na makanisa mengine.. na hivyo waumini kama Shetani wanaruhusiwa as long as wanaamini katika jina la kanisa hilo... sasa sijui kama mambo ya kukemea mapepo yataruhusiwa.. ?

Ila utabiri wa Shetani unaweza kuwa kweli kwenye mambo mengi.. maana huwezi kujua maana kwenye Ayubu tunaambiwa kuwa SHetani alijipitisha pitisha mbele za Mungu na kumsikia Mungu

Tad dah (ile sound ya windows tada)!
 
Mnajua hata Malcom X aliitwa "Shetani" jela kabla ya kuwa maarufu?


Shetani wa leo anaweza kuwa mwanamapinduzi wa kesho.

OK, Shetani usivimbe kichwa sana sasa.
 
Back
Top Bottom