Shetani
Member
- Oct 23, 2007
- 29
- 0
1.mgogoro mkubwa CCM,vigogo kadhaa kufukuzwa unachama.
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema
2.Kabwe Zito kupauka kisiasa,madeni na fadhila za matajiri wa Ccm kumzonga, kuoa bint Mgumia his 'baby's mama'
3.mbowe kuachia ngazi degree moja, kukamatwa kwa biashara ya unga na kuiba documenti kuhusiana na deni lake la NSSF
4.balali kufukuzwa kazi, kufariki dunia
5.mrema kufariki dunia,msiba wa kitaifa
7.wezi kuendelea kupeta serikalini
8.JF kuendelea kutokuwa na jipya,kuchokwa,kuwa taasisi rasmi ya Chadema ikiongozwa na Kitila Mtumbo,
9.shamba la mfano la Chadema nje ya Dar kunawiri, waandishi wa habari kupelekwa kuliona,Mnyika kupandishwa cheo Chadema
10.biashara ya magazeti kuwa ngumu zaidi,magazeti kadhaa maarufu kufungwa
11.makanisa ya utapeli kuongezeka Dar,Mwanakijiji kuchanganyikiwa na kuanzisha lake
12.chama kipya cha mrengo wa kushoto kuanzishwa Bongo kujumuisha Isa shivji, Makwaia Kuhenga,Joseph Butiku,Madaraka Nyerere,Jenerali Ulimwengu,Zito Kabwe
13.slaa kubainika kumweka kimada Sekretari wa Makao Makuu ya Chadema