KazinjaTwo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2021
- 330
- 333
Watanzania woooote wema mbaya ni wewe peke yakoSisi watanzania pia tupo wema na wabaya. Sio vizuri kufanya generalization.
Watanzania woooote wema mbaya ni wewe peke yakoSisi watanzania pia tupo wema na wabaya. Sio vizuri kufanya generalization.
😂😂😂😂😂😂😂😂 😂 😂
Usipende kuchukulia kila jambo kuwa ni la kawaida sana. Kumbuka "a small leak, can sink a ship"Hizo ni typing errors za kawaida tu
Unaweza kutumia mkato kama wewe mjanjaLakini sio njia ya mkato
Miba sio kikwazo kama una lengo la kutaka kufika pahala fulaniPenye njia napo pana miba mingi
Ukikamatwa na Polisi utasemaje?Unaweza kutumia mkato kama wewe mjanja
I am sorry nilikosea kidogo bestUmeandika mimba badala ya miba shoga yangu
Labda anapenda kufa mapema na kuachana na raha hizi za duniaNjia za mkato huishia kuzimu mdogo wangu. Jitume achana na virahisi
Kenya wana viburi sana wale jamaaKenya mbona hatuna tatizo nao, ni viugomvi vya watoto waliofuatana tu.
Kuna kaka mmoja alikuwa anawat.o..m.ba sana aiseeMimi nimefanya kazi sana na Wakenya nilipokuwa Arusha mwaka 2015. Sema sio wachoyo wa papuchi zao.
Hahahaha wewe si ulisemaga ulimaliza UDSM mwaka 2012? Au unafikiri tumesahau?Nichangie nini tena ndugu yangu wakati niliishia darasa la saba tu.
Facebook kila mtu anasema alisoma UDSMHahahaha wewe si ulisemaga ulimaliza UDSM mwaka 2012? Au unafikiri tumesahau?
Mpaka wale wa darasa la saba nao wanadai wamefika mpaka UD. Hakika vituko havitakaa viishe hapa duniani.Facebook kila mtu anasema alisoma UDSM
Tanzania - Uganda - Kenya wanaweza kuandaa AFCON kama kweli wapo seriousMpaka wale wa darasa la saba nao wanadai wamefika mpaka UD. Hakika vituko havitakaa viishe hapa duniani.
Tanzania peke yetu kwani hatuwezi?Tanzania - Uganda - Kenya wanaweza kuandaa AFCON kama kweli wapo serious
Tunaweza sana tu ila tatizo pesa nyingi ndio hatunaTanzania peke yetu kwani hatuwezi?
Kenya wabaya hatuwatakiTanzania - Uganda - Kenya wanaweza kuandaa AFCON kama kweli wapo serious
Kenya sio jirani mzuri hata kidogo bora ndugu zetu Uganda.Kenya wabaya hatuwataki
Nilianza kuamini kuwa Kenya sio rafiki mzuri siku ambayo yule binti wa Odinga aliposema eti Mlima Kilimanjaro upo kwao.Kenya sio jirani mzuri hata kidogo bora ndugu zetu Uganda.
Simba wana roho mbayaWatanzania woooote wema mbaya ni wewe peke yako