Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Nilikuwa naangalia mlimani tv, watu zaidi ya 200 wamekamatwa na jeshi la polisi katika eneo la kariakoo kwa kosa la uzembe na uzururaji.
Muda mrefu sijasikia watu wakikamatwa kwa makosa ya uzembe na uzuraraji. Isijekuwa polisi wameshindwa kukamata majambazi na wahalifu sugu
na sasa wameamua kuwaumiza wamachinga!
Muda mrefu sijasikia watu wakikamatwa kwa makosa ya uzembe na uzuraraji. Isijekuwa polisi wameshindwa kukamata majambazi na wahalifu sugu
na sasa wameamua kuwaumiza wamachinga!