Jamani nilisikia kwamba leo bodi ya mikopo ingetoa tamko la mwisho au majina mengine ya waliopata mkopo,kuna anaejua nini kinaendelea,naomba anijulishe
Kaka hakuna kunachoendelea na msipochukua hatua sasa hivi basi mnaweza kuanza chuo na bado mambo yasieleweke.......mngejipanga na kuwapelekea hayo malalamiko palepale ofisini kwao kama mpo dar."you don't have to beg someone to give you what yours,if your a man take it."
Nilichokiona ni Idadi ya waliokosa mkopo kuendelea kuongezeka na sasa imefikia 58elfu na kidogo napata na mstuko kuona namba inaongezeka tofauti na idadi iliyotajwa hapo awali. Wadau wanaJF hii imekaaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.