Kwa hesabu za haraka haraka, ni asilimia mbili tu (2%) ya watanzania wanaishi Tanzania Visiwani (1.3mil), inayojulikana sana kama 'nchi' ya Zanzibar. 98% ya watanzania (zaidi ya mil. 40) wanapatikana Tanzania Bara, iliyokuwa Tanganyika huko zamani kabla ya Muungano (1964).
Ni bora katiba mpya iangalie kwa karibu maslahi ya walipa kodi 98% kuliko kuburuzwa na kelele za 2% wanaotaka kujitenga kila kukicha. Serikali tatu ni mzigo, serikali nusu ya wa-Zenj haina maana, serikali moja ya JMT ndio jibu. Zanzibar iendelee na mikoa yake au waondoke kabisa kwenye Muungano.
Ni bora katiba mpya iangalie kwa karibu maslahi ya walipa kodi 98% kuliko kuburuzwa na kelele za 2% wanaotaka kujitenga kila kukicha. Serikali tatu ni mzigo, serikali nusu ya wa-Zenj haina maana, serikali moja ya JMT ndio jibu. Zanzibar iendelee na mikoa yake au waondoke kabisa kwenye Muungano.