2 PROUD aka MR II aka JOSEPH MBILINYI

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
Kumbe naye alijilipuia kama Mrundi na mkewe Salva Rweyemamu!

makubwa haya,haya uwanja wenu watu wa Lesta
 
bazamen mbona kimya,siku hizi naona umeadimika sana kule mtaa wapili au ni aje.
Jpili nitakuwa mjini karibu tule kashata na kahawa
 
hamna lolote majungu matupu!!...........kumbe Brazameni wewe pia ni mtu wa kubahatisha, ok!.
 
Jamaa yupo STATES, hajajulipua wala nini, mbona mnamzulia kijana wa watu. Hv ww BRAZAMENI umejilipua kikabila gani? Sema yako kwanza.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom