1SZ, 2SZ, 2NZ

Mkuu hadi umeamua kuji-quote mwenywe! kweli hakuna wataalamu wa hizi kitu humu
 
Ipi ni the best engine hapo?
Mkuu hapa kwa hzo injini hyo ya kwanza ina horsepower ndogo ambayo almost ni cc 999 but ina piston 4... Always nipoa for fuel efficiency na fuel economy, but hyo inayofuata ni kubwa kwa 1SZ inakwenda cc 1290 ina horsepower kubwa kidogo... Kama 70+ bt inakua na nguvu so kwa mtu mwenye mahitaji ya nguvu it can be the best option.. Na hyo 2NZ ni kwa gari ndogo ambazo nadhan za gari ndogo ambazo zina 4WD so ulaji wake wa mafuta upo juu kidogo na ina performance nzuri... Nadhan kwa toyota IST yenye 4WD ina injini hyo..
 
But jibu laweza lisiwe poa sana kwakua mie si mtaalam wa magari but trust me mafundi wa bongo weng wa baba ishaji... Tutorials na reviews za engines na shida mbalimbali za magari kupitia youtube zitakupa uelewa sana juu ya haya magari.. Pia ukinunua code reader ukawa una diagnose mwenyewe gari yako na kutibu magonjwa ontime kamwe hutasikia shda ya engne... Mwaka wa wa tatu no fault code wala nin...
 
And with engine size it depends what do u want?? Is it fuel consumption efficiency? Or horse power?? Kama ni fuel economy go for 1SZ, kama ni more horse power/torque ili ume una overtake kwa raha go atleast for 2SZ au zaidi 2NZ... Unless otherwize uzima au ubov wa engne ni wewe mwenyewe utavojali afya ya engine..
 
Target yangu ni hp kubwa sasa kuna jamaa akanambia nisijaribu kununua gari yenye injin ya 2sz hakunambia kwa nini na mimi sikumuuliza sabb
 
Unataka engine yenye hp kubwa.basi achana na hiso engine tukutajie engine zenye hp kubwa.jini mafuta
Target yangu ni hp kubwa sasa kuna jamaa akanambia nisijaribu kununua gari yenye injin ya 2sz hakunambia kwa nini na mimi sikumuuliza sabb
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom