1st, First lady

Zanaki

JF-Expert Member
Sep 1, 2006
545
75
Mama Maria Nyerere akiwa kamanda wa mgambo
 

Attachments

  • MG18.JPG
    MG18.JPG
    786.8 KB · Views: 583
kawaida watu wakioana, baada ya kuishi kwa muda wanafanana sura, fikra na tabia. Alivyokuwa Mwl. JKN ndivyo alivyokuwa Mama Maria. Vivyo hivyo kwa Vasco da Gamba!
 
Hiyo milioni tatu yenyewe wameichakachua maana tarakimu zasoma laki tatu na....! Yaani hakuna umakini popote si mume, mke, wala mtoto
 
3,800,00 ?????MILION TATU LAKI NANE!!! huyu kasoma shule gani? au hizi za kwetu za yeboyebo ndo wanafundisha hivi, huyu si analiingizia hasara taifa eeehhh tutafika tu!
 
Usipocheka JF basi utaugua maana na huakika mbavu zitakuwa zinauma pamoja na kichwa dah!!Kwakicheko hiki chakula nilichokula mchana najua kimeenda sehemu yake sihitaji mazoezi!!JF!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom