1995: Siku Jakaya Kikwete alivyomuinua kitini Rais mstaafu Nyerere

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,227
113,583
Kutoka mwaka 1995. Baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM.

Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais mstaafu Nyerere hadi akanyanyuka na kuanza kupiga makofi huku akitabasamu.

Jionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa.


MAELEZO KUHUSU VIDEO
Kikwete alitoa kauli ya kumuunga mkono Rais Mteule wa CCM wa kipindi hiko, ambaye alikuwa Benjamini William Mkapa, na akataka mashabiki wake wakubaliane na hilo kwa kuwa uchaguzi(Wa ndani) umeshaisha.

Aidha aliposema kuwa kamati yake ya kampeni na kamati zote zisiszo rasmi kwa wakati huo akazitaka ziwe ni kamati za Mkapa, ndipo watu wakapiga makofi akiwemo Hayati Julius Kambarage Nyerere
 
Kutoka mwaka 1995. Baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM.

Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais mstaafu Nyerere hadi akanyanyuka na kuanza kupiga makofi huku akitabasamu...
Hapo zamani za kale CCM ilikuwa na itikadi na mwelekeo.
Ilivipoteza vyote ilipolaaniwa na Kolimba. Yawezekana humfahamu Kolimba kwa sababu ulikuwa mtoto. Usiogope kumuuliza Mwl Bashiru, anamfahamu.

Usimuulize Katibu Mkuu wa CCM, si ajabu hata yeye hamfahamu pia!

Vijana wa ccm someni vitani umesubili watu wamepost habari umedandia. Hakna viongozi wakti huu ndani ya ccm.
 
Kutoka mwaka 1995. Baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM.

Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais mstaafu Nyerere hadi akanyanyuka na kuanza kupiga makofi huku akitabasamu.

Jionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa.


MAELEZO KUHUSU VIDEO
Kikwete alitoa kauli ya kumuunga mkono Rais Mteule wa CCM wa kipindi hiko, ambaye alikuwa Benjamini William Mkapa, na akataka mashabiki wake wakubaliane na hilo kwa kuwa uchaguzi(Wa ndani) umeshaisha.

Aidha aliposema kuwa kamati yake ya kampeni na kamati zote zisiszo rasmi kwa wakati huo akazitaka ziwe ni kamati za Mkapa, ndipo watu wakapiga makofi akiwemo Hayati Julius Kambarage Nyerere
Nidhamu ndani ya chama
 
na mim niiliona ilikua so touched mpaka mzee mwenyewe mwenye nchi yake aliinuka
na meza kuu wote waliinuka.
 
Kutoka mwaka 1995. Baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM.

Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais mstaafu Nyerere hadi akanyanyuka na kuanza kupiga makofi huku akitabasamu.

Jionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa.


MAELEZO KUHUSU VIDEO
Kikwete alitoa kauli ya kumuunga mkono Rais Mteule wa CCM wa kipindi hiko, ambaye alikuwa Benjamini William Mkapa, na akataka mashabiki wake wakubaliane na hilo kwa kuwa uchaguzi(Wa ndani) umeshaisha.

Aidha aliposema kuwa kamati yake ya kampeni na kamati zote zisiszo rasmi kwa wakati huo akazitaka ziwe ni kamati za Mkapa, ndipo watu wakapiga makofi akiwemo Hayati Julius Kambarage Nyerere

JK played it very smartly. He couldn't become the next president if he had persisted on being the rightful winner of the party election in 1995
 
Kutoka mwaka 1995. Baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM.

Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais mstaafu Nyerere hadi akanyanyuka na kuanza kupiga makofi huku akitabasamu.

Jionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa.


MAELEZO KUHUSU VIDEO
Kikwete alitoa kauli ya kumuunga mkono Rais Mteule wa CCM wa kipindi hiko, ambaye alikuwa Benjamini William Mkapa, na akataka mashabiki wake wakubaliane na hilo kwa kuwa uchaguzi(Wa ndani) umeshaisha.

Aidha aliposema kuwa kamati yake ya kampeni na kamati zote zisiszo rasmi kwa wakati huo akazitaka ziwe ni kamati za Mkapa, ndipo watu wakapiga makofi akiwemo Hayati Julius Kambarage Nyerere
Magnanimous and graceful oratory.

A senseful humility that propelled him into greater heights.
 
Magnanimous and graceful oratory.

A senseful humility that propelled him into greater heights.
What surprised me is how close he almost became the nominee.

He only lost to Mkapa by less than 100 votes.

It was a fierce battle to the end.

It was said Nyerere put his thumb on the scales to get Mkapa across the finish line.
 
Back
Top Bottom