Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Kutoka mwaka 1995. Baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM.
Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais mstaafu Nyerere hadi akanyanyuka na kuanza kupiga makofi huku akitabasamu.
Jionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa.
MAELEZO KUHUSU VIDEO
Kikwete alitoa kauli ya kumuunga mkono Rais Mteule wa CCM wa kipindi hiko, ambaye alikuwa Benjamini William Mkapa, na akataka mashabiki wake wakubaliane na hilo kwa kuwa uchaguzi(Wa ndani) umeshaisha.
Aidha aliposema kuwa kamati yake ya kampeni na kamati zote zisiszo rasmi kwa wakati huo akazitaka ziwe ni kamati za Mkapa, ndipo watu wakapiga makofi akiwemo Hayati Julius Kambarage Nyerere
Akiwa anatoa hotuba ya kukubali matokeo, Rais mstaafu Kikwete aliongea maneno ambayo yalionekana kumgusa kwa furaha Rais mstaafu Nyerere hadi akanyanyuka na kuanza kupiga makofi huku akitabasamu.
Jionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa.
MAELEZO KUHUSU VIDEO
Kikwete alitoa kauli ya kumuunga mkono Rais Mteule wa CCM wa kipindi hiko, ambaye alikuwa Benjamini William Mkapa, na akataka mashabiki wake wakubaliane na hilo kwa kuwa uchaguzi(Wa ndani) umeshaisha.
Aidha aliposema kuwa kamati yake ya kampeni na kamati zote zisiszo rasmi kwa wakati huo akazitaka ziwe ni kamati za Mkapa, ndipo watu wakapiga makofi akiwemo Hayati Julius Kambarage Nyerere