Ndahani
JF-Expert Member
- Jun 3, 2008
- 17,062
- 2,000
..EL alitapeliwa na JK.
..ilipofika kwenye suala la Richmond JK hakumpa support EL.
..na EL alipoondoka serikalini wanasema alikuwa depressed akaanza kunywa pombe kupindukia na kuathiri afya yake.
..kundi la Samuel Sitta, Harrison Mwakyembe, etc ndilo lililozima ndoto za Uraisi za EL.
..JK alipaswa kulishughulikia kundi hilo ili aweze kumlinda mwenzie na kutimiza ahadi walizowekeana na EL.
..nakubaliana na wewe 100% kwamba Uraisi siyo jambo rahisi. Unahitaji uwe na bahati kwelikweli.
NB:
..siyo kama namfagilia EL, ila nilitaka kueleza kilichotokea ndani ya ccm.
Utu uzima dawa. Tuna mengi ya kuendelea kujifunza