Mwanamkiwi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 2,023
- 2,399
Kaka huelewi unachojadili, pamoja na mwenzako # Hammaz.Mtoa mada unaweza kuwa na hoja za msingi maana nimeangalia Kile Chombo cha anga wanachotengeneza Boeing kwa kushirikiana na Lockheed Martin kinaitwa orion wamekitengeneza wakakirusha juu sana ya Tabaka la Dunia kupita ISS na satellite zote kikapita van allen radiation belt huku wakiweka sensors za aina mbalimbali kukusanya data.
Hii van Allen radiation belt ina chembechembe zenye chaji za nguvu kubwa zinazotokana na miale ya jua , milipuko ya nyota, Black holes, asteroids nk. Hili eneo ni hatari sana kiumbe hai chochote kikipita Lazima kipikwe kwa hio miale. Kwahiyo wataalamu wa Boeing na Lockheed Martin wanaumiza kichwa teknolojia ya kutengeneza shield ambayo itamlinda binadamu na hii miale.Nasa wamekubali mpaka sasahivi binadamu haijawezekana kumpitisha kwenye hii van Allen’s belt radiation. Safari yoyote ya mwezini,mars nk lazima ipitie van Allen’s belt radiation.
- There are two main Van Allen belts – the inner belt and the outer belt – and a transient third belt. The inner belt is the more dangerous one, containing energetic protons. The outer one has less-dangerous low-energy electrons (Beta particles). The Apollo spacecraft passed through the inner belt in a matter of minutes and the outer belt in about 1+1⁄2 hours. The astronauts were shielded from the ionizing radiation by the aluminum hulls of the spacecraft. Furthermore, the orbital transfer trajectory from Earth to the Moon through the belts was chosen to lessen radiation exposure. Even James Van Allen, the discoverer of the Van Allen belt, rebutted the claims that radiation levels were too harmful for the Apollo missions. Phil Plait cited an average dose of less than 1 rem (10 mSv), which is equivalent to the ambient radiation received by living at sea level for three years. The total radiation received on the trip was about the same as allowed for workers in the nuclear energy field for a year and not much more than what Space Shuttle astronauts received.
Je, unaelewa vipimo vya "rem" na "mSv" vinavyotajwa katika matini ni ni ni? Unahitaji tafsir kwa Kiswahili?