Kagera imevamiwa 1978 lakin siku ya Uzinduzi wa Bomba la Mafuta kule Horogoro Tanga, Museven alisema Horohoro inamkumbusha 1972 wakati akipitishiwa Silaha na Serikal ya Nyerere kwenda kushambulia Uganda kutokea Kagera
Bado unasubiri RTD sio TBC ikutangazie nani alikuwa Mgomvi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unasubiri RTD sio TBC ikutangazie nani alikuwa Mgomvi?
Dogo ulitaka Mkoa wa Kagera ukaliwe na Majeshi ya Uganda?
Sent using Jamii Forums mobile app