19.04.08- Hopkins Vs Kalzaghe

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Kwa wale wapenzi wa masumbwi tarehe 19.04 ndio hivyo inakaribia. Katika ukumbi wa Thomas & Mack Center huko Las Vegas kutakuwa na mpambano mkali ambao umekuwa ukisubiriwa kwa hamu kati ya mmarekani Benard "The Excutioner" Hopkins [48-4-1(32ko)] na muingereza(Welsh actually)Joe Calzaghe [44-0 (32ko)].

Itakuwa ni mara ya kwanza kwa Calzaghe kuzipiga Marekani na mara yake ya kwanza pia kupigana kwenye uzito wa Light heavyweight. Calzaghe pia kama ulivyoona kwenye record yake, hajawahi kupigwa katika pro record yake kwa miaka 18 sasa, he is 36 year old. Hopkins ana miaka 43 kwa sasa na ameendelea kushangaza watu kwa jinsi ambavyo ameweza kijiweka fit na kuwadunda vijana wadogo kama Winky Right na Antonio Tarver (yule star wa Roky Balboa).Kauli aliyoitoa wakati hili pambano linanukia- "I'll never let a white boy beat me" imewaudhi wazungu wengi sana na naamini wengi watakua upande wa Calzaghe hiyo jumamosi.

My prediction- Najua I got it wrong last december kati ya Hatton na Mayweather lakini hapa naamini Calzaghe atashinda kwa points,imembidi aongeze uzito ili kufikia limit so nategemea ngumi zake zitakua nzito zaidi japokuwa sitegemei kuiona ile hand speed yake ya siku zote tuliyoizoea.Hopkins is a king of dirty fighting lakini kwa kuwa refa ni Joe Cortez (yule wa Hatton v Mayweather) nategemea fight itakuwa clean.


Usikose pia hii fight jumamosi ya tarehe 12.04.08
IBF Championship figh- Clinton Woods Vs Antonio Tarver.

[media]http://uk.youtube.com/watch?v=stOFhQAZZ_o[/media]
 
Aaah wapi....B-Hop atambamiza huyo M-Welsh....

Babu lazima achukue kichapo, mwaka juzi nakumbuka pia alikuja Jeff"Left hook" Lacy na majigambo yake hapa UK na alikua undefeated by then,alikua kashinda almost fights zote kwa KO- lakini Calzaghe alimpa boxing lesson ya nguvu!
 
A very dissapointing fight, I must say, good job kulikuwa na fight nyingine on Sky ya Cotto v Gomez so sikujutia sana usingizi wangu niliopoteza. So these results makes it USA 1- ENGLAND 0 but after next weekend when Calzaghe smashes B-Hop its going to be all square.....

Woods may quit after Tarver loss

Clinton Woods may quit boxing after losing his IBF light-heavyweight title in desperately disappointing fashion to home favourite Antonio Tarver in Tampa.

The Sheffield man was easily outpointed 116-112, 117-111, 119-109 and failed to drain Tarver's questionable stamina.

"I fought the best light-heavyweight in the world," said the 35-year-old.

"I'm happy with my career but I don't know if I'll stop. I've done everything I wanted to do... maybe I have something left."

The defeat now looks to have scuppered any chance of a British super-fight between Woods and Joe Calzaghe later in the year.

Source:bbc.co.uk

 
Joe has done it as I predicted, the old man didnt want to fight and spent most of the time on his bike and holding, apart from the first round knock down- Hopkin didnt do anything else. A scrapy fight I must point out thou.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom