Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mama kamkuta binti akiwa juu ya mti wa mwembe.MAMA;We binti kwanini unapanda juu ya mti wakati kuna wavulana hapa chini,hujui watakuchungulia nguo yako ya ndani? BINTI;Hahahaah! nilishawasoma kitambo na ndo maana kabla ya kupanda juu ya mti niliivua.