muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Zimebaki siku 1826 tu ili tupate uhuru. Ni siku hiyo Tanzania mpya itazaliwa .siku hiyo mito maziwa na rasilamali za nchi zitashukuru kwamba hazinyonywi tena.siku hiyo utawala chaguo la watu wakielekezwa na Mungu wao utakuwa madarakani tayari kuileta Tz yenye neema. siku hiyo inahitaji maandalizi nami nimeanza sasa.tujiunge pamoja kusoma mapungufu yalotokea sasa ili baada ya siku 1826 tushereheke kwa pamoja.wao wana pesa sisi tuna Mungu