16 Wauwawa kwa Kucharangwa Mapanga Usiku wa Manane-Musoma

Tatizo unakurupuka ,bila hata kuchukua dakika moja kupitia yaliyomo.
Haya maandishi na ya nukuu yapo ktk page 3 kama sijakosea. Naona utagunduwa kati yako na mie nani anakurupuka na mfukaji mzuri wa moshi wa makaa ya mawe.
Unajaribu kumeza matapishi yako............... that was your post and there is nothing showing you quoted somewhere........ UMEFUKA BANA
 
NAfikiri Umepatia vizuri sana, na ndio maana kuna mkuu hapo juu alisema mapigano yanasababishwa kwa kuichagua CHADEMA. Ndo bado sielewi inakuwa je hapo.

Ni kweli mapigano ya mara ni mapigano ya kitamaduni (tunaosema tudumishe tamaduni zetu) ya kihistoria za kipumbavu na uwajibikaji wa kijinga.

MAmbo haya sio kuelimishwa tu, lakini pia moja ya kichochezi ni ile sera ya NYERERE na SOKOINE.

Ukikaa chini nafikiri utakuja na jibu ya kwamba sehemu palipo na mauaji ya namna hii ni sehemu ambapo SUNGUSUNGU ya Nyerere na SOKONIE ilipokuwa na nguvu.Jiulize pia kwa nini.?

Mkuu yote hii ni ishara ya mamlaka husika hasa security system yetu kukosa indicators za alert au kuwa complacent na hali ya huko haswa kwenye kuzoea shida na mapungufu!!! ninaamini kabisa hivi vifo vilikua vinazuilika maana hawa jamaa hawajauawa kwa bastola

wameuwawa kwa machetes, na wauwaji walikua zaidi ya mmoja... hivyo there must be a grouping stage, kubeba zana, kutiana moyo na mwisho execution amabyo nayo lazma ilichukua zaidi ya dakika 10....

Cha aibu zaidi ukiangalia leo kwenye citizen wametoa picha ya polisi watatu na mitutu tena mmoja ni kamanda, na watu kibao wamemdaka mtu alikuwa ni illegal farmer.. huku ndio nguvu zilipoelekezwa, kubabua wanyonge wanaotafuta mchele, ila wanaotoa roho unaambiwa ah watu wa huku bwana tumeshawazoea na wewe utazoea tu
 
[/LEFT]
Unajaribu kumeza matapishi yako............... that was your post and there is nothing showing you quoted somewhere........ UMEFUKA BANA

Kweli tanzanania duu
kama unashindwa kwenda ktk page ya tatu tu, kusoma yaliyomo wewe kweli utaweza kusoma mikataba yenye makaratasi mengi.teh teh teh pole zako
 
Mkuu yote hii ni ishara ya mamlaka husika hasa security system yetu kukosa indicators za alert au kuwa complacent na hali ya huko haswa kwenye kuzoea shida na mapungufu!!! ninaamini kabisa hivi vifo vilikua vinazuilika maana hawa jamaa hawajauawa kwa bastola

wameuwawa kwa machetes, na wauwaji walikua zaidi ya mmoja... hivyo there must be a grouping stage, kubeba zana, kutiana moyo na mwisho execution amabyo nayo lazma ilichukua zaidi ya dakika 10....

Cha aibu zaidi ukiangalia leo kwenye citizen wametoa picha ya polisi watatu na mitutu tena mmoja ni kamanda, na watu kibao wamemdaka mtu alikuwa ni illegal farmer.. huku ndio nguvu zilipoelekezwa, kubabua wanyonge wanaotafuta mchele, ila wanaotoa roho unaambiwa ah watu wa huku bwana tumeshawazoea na wewe utazoea tu

Nafikiri ni kweli na pia si kweli
Nchi hii wajemeni msifananishe na nchi za ulaya , tuangalie pia reality ya uchumi wetu na hali halisi.

ukiangalia kila tarafa unaweza kuta kituo cha polisi ni kimoja na chenyewe kina askari wawili wa tatu wasio na dhana.
Na ukiangalia mauaji yalivyotokea kama wewe umetokea kijijini kama mie hapa huwezi kubisha kabisa kuna sehemu unaweza vamia hata kwa week mzima bila kuwa na uwezekano wa polisi kufika mahali hapo.

Sasa uzembe wa nani? uzembe ni wetu sote kwa kuwa masikini ,najuwa utasema ccm teh teh teh teh.
 
Ndugu Wana Jamii, juzi nilisoma sehemu moja Bw. Ryoba yule Mhadhili kutoka UDSM nadhani kwenye masuala ya Habari na pia ni Mwenyekiti wa Asasi isiyokuwa ya Kiserikali ya Mashariki na Kusini mwa Afrika inayohusu masuala ya Habari, akilalamika kwamba kuna mwanadishi mmoja kaandika kwamba "yawezekana watu wa Musoma bado ustaarabu kwao ni mdogo" lakini pia nilimsoma Bw. Kabwe akimuunga Mkono Ryoba kwa kusema sisi Watanzania tuna tabia ya kuhukumu bila hata ya kuwa na habari kamili.

Wote walikuwa wanampinga mwandishi alyesema Musoma USTAARABU kwao bado upo nyuma sana - suala ni mauaji ya watu 17.

Mimi nimeandika kwamba, hivi huyu Bw. Ryoba na Mhe. Kabwe wanataka mtu ufanye utafiti wa namna gani au uwe na Elimu ya namna gani au uwe na akili ya namna gani ili uje watu wa Mkoa wa Mara HAWANA USTAARABU katika kudhamini uhai wa watu wengine.
Mifano ni mingi, niliwahi kwenye Tarime na Kiongozi mmoja, katika ziara ile tulifanya Mkutano na Jamii za kule zainazopigana, majibu waliyokuwa wanayatoa utajua kabisa kwamba hawa jamaa ama AKILI zao zinatatizo au bado wanaishi ile DUNIA YA 1800 ambayo majadiliano ni KOSA KABISA. Walyanchoka, wanayabasi n.k wanachinjana na kuchomeana nyumba. Wengine ni Kabila moja la Kikurya au Kijaluo lakini tofauti ua Ukoo inawanya kuuana kwa mapanga na Mikuki.
Katika Mkutano huo walikuja na mapanga yao na mikuki na mishale.

Hivi nani hajuwi kuwa kutokana na hali mbaya ya usalama wa kuuana Serikali imeigeuza Wilaya ya Tarime kuwa Mkoa wa Kipolisi? hivi dunia ya leo bado watu wanachinjana kwa kosa la kuchukiana? unachinja familia nzima.

Mkoa wa Mara wanachofanya kuna tofauti gani na mauji ya halaiki kule Rwanda au Burundi? wa kwa sababu wapo Tanzania?

Mifano ni mingi. Nilipata bahati ya kuongea na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Issa Machibya kabla hajahashwa kule, anasema Mkoa wa Mara ni hatari ZAIDI kuliko Mkoa wowote wa Tanzania kwa sababu ya mauaji ya wenyewe kwa wenyewe. (NADHANI SERIKALI IANZISHE MAHAKAMA MAALUM YA MAUAJI YA MKOA WA MARA).

Niliwahi kwenda Wilaya ya Serikali kufanya ukaguzi wa Hesabu kwenye Halmashauri ya Wilaya, ilipofika usiku saa 2 nilitoka Guest niliyofikia nikawa naenda kutafuta chakula, kulikuwa na giza kidogo, nilimuona mmoja wa Wahasibu wa Halmashauri tulikuwa tunapishana anakwenda ninapotoka na nina kwenda anapotoka, nikamuita jina na kumwambia habari za usiku, lakini jamaa hakuitikia kabisa.

Kesho yake asubuhi nilumuuliza mbona jana usiku nilikusalimia tulipokutana hukuitikia? akasema unajua ndugu yangu huku Serengeti na Musoma kwa ujumla huwa ahutuikii salama usiku kwa sababu pengine kuna mbaya wako ameshika panga anakuita jina na kukusalimia ukiitikia tu anajua ndiyo wewe anakucharanga mapanga.

Hebu kumbuka yule mwanamama aliyepichwa na Mumewe na mchi wa kutwangia mahindi kwenye miguu hali iliyopekelea miguu yake kukatwa, huo bado utauita ustaarabu.

Nendeni Mara mkawaulize Polisi kwa hali ya UPOLE kabiwa watakuleza namna kesi za mauaji zinavyokosa mashahidi kwa sababu mtu yeyote atakayejitokeza kutoa ushahidi kichwa chake na familia yake vitakatwa kwa mapanga.

Hebu kumbuka ni miezi michache iliyopita huko huko Musoma kuna habari ilisema Bw. Mmoja amemuua Mke wake, mtoto wake wa miaka 2, wazazi wote wawili wa Mke wake, kisa Mke kamkimbia na kurudi kwao kwa kile Mwanamke alichosema kipigo cha kila siku kutoka kwa Mumewe.

Bado mnataka tuamini kwamba watu wa Musoma ni WASTAARABU kwenye mwili wa wenzao?

Bado mnataka tusiwalaumu?

MIMI NASEMA WATU WA MKOA WA MARA WAZOMEWE POPOTE walipo ili labda hilo wanaweza kujirekebisha. WATU GANI HAWA?

UNYAMA wanaoufanya hata WANYAMA hawawezi kufanya hivyo.
 
Ndugu Wana Jamii, juzi nilisoma sehemu moja Bw. Ryoba yule Mhadhili kutoka UDSM nadhani kwenye masuala ya Habari na pia ni Mwenyekiti wa Asasi isiyokuwa ya Kiserikali ya Mashariki na Kusini mwa Afrika inayohusu masuala ya Habari, akilalamika kwamba kuna mwanadishi mmoja kaandika kwamba "yawezekana watu wa Musoma bado ustaarabu kwao ni mdogo" lakini pia nilimsoma Bw. Kabwe akimuunga Mkono Ryoba kwa kusema sisi Watanzania tuna tabia ya kuhukumu bila hata ya kuwa na habari kamili.

Wote walikuwa wanampinga mwandishi alyesema Musoma USTAARABU kwao bado upo nyuma sana - suala ni mauaji ya watu 17.

Mimi nimeandika kwamba, hivi huyu Bw. Ryoba na Mhe. Kabwe wanataka mtu ufanye utafiti wa namna gani au uwe na Elimu ya namna gani au uwe na akili ya namna gani ili uje watu wa Mkoa wa Mara HAWANA USTAARABU katika kudhamini uhai wa watu wengine.
Mifano ni mingi, niliwahi kwenye Tarime na Kiongozi mmoja, katika ziara ile tulifanya Mkutano na Jamii za kule zainazopigana, majibu waliyokuwa wanayatoa utajua kabisa kwamba hawa jamaa ama AKILI zao zinatatizo au bado wanaishi ile DUNIA YA 1800 ambayo majadiliano ni KOSA KABISA. Walyanchoka, wanayabasi n.k wanachinjana na kuchomeana nyumba. Wengine ni Kabila moja la Kikurya au Kijaluo lakini tofauti ua Ukoo inawanya kuuana kwa mapanga na Mikuki.
Katika Mkutano huo walikuja na mapanga yao na mikuki na mishale.

Hivi nani hajuwi kuwa kutokana na hali mbaya ya usalama wa kuuana Serikali imeigeuza Wilaya ya Tarime kuwa Mkoa wa Kipolisi? hivi dunia ya leo bado watu wanachinjana kwa kosa la kuchukiana? unachinja familia nzima.

Mkoa wa Mara wanachofanya kuna tofauti gani na mauji ya halaiki kule Rwanda au Burundi? wa kwa sababu wapo Tanzania?

Mifano ni mingi. Nilipata bahati ya kuongea na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Issa Machibya kabla hajahashwa kule, anasema Mkoa wa Mara ni hatari ZAIDI kuliko Mkoa wowote wa Tanzania kwa sababu ya mauaji ya wenyewe kwa wenyewe. (NADHANI SERIKALI IANZISHE MAHAKAMA MAALUM YA MAUAJI YA MKOA WA MARA).

Niliwahi kwenda Wilaya ya Serikali kufanya ukaguzi wa Hesabu kwenye Halmashauri ya Wilaya, ilipofika usiku saa 2 nilitoka Guest niliyofikia nikawa naenda kutafuta chakula, kulikuwa na giza kidogo, nilimuona mmoja wa Wahasibu wa Halmashauri tulikuwa tunapishana anakwenda ninapotoka na nina kwenda anapotoka, nikamuita jina na kumwambia habari za usiku, lakini jamaa hakuitikia kabisa.

Kesho yake asubuhi nilumuuliza mbona jana usiku nilikusalimia tulipokutana hukuitikia? akasema unajua ndugu yangu huku Serengeti na Musoma kwa ujumla huwa ahutuikii salama usiku kwa sababu pengine kuna mbaya wako ameshika panga anakuita jina na kukusalimia ukiitikia tu anajua ndiyo wewe anakucharanga mapanga.

Hebu kumbuka yule mwanamama aliyepichwa na Mumewe na mchi wa kutwangia mahindi kwenye miguu hali iliyopekelea miguu yake kukatwa, huo bado utauita ustaarabu.

Nendeni Mara mkawaulize Polisi kwa hali ya UPOLE kabiwa watakuleza namna kesi za mauaji zinavyokosa mashahidi kwa sababu mtu yeyote atakayejitokeza kutoa ushahidi kichwa chake na familia yake vitakatwa kwa mapanga.

Hebu kumbuka ni miezi michache iliyopita huko huko Musoma kuna habari ilisema Bw. Mmoja amemuua Mke wake, mtoto wake wa miaka 2, wazazi wote wawili wa Mke wake, kisa Mke kamkimbia na kurudi kwao kwa kile Mwanamke alichosema kipigo cha kila siku kutoka kwa Mumewe.

Bado mnataka tuamini kwamba watu wa Musoma ni WASTAARABU kwenye mwili wa wenzao?

Bado mnataka tusiwalaumu?

Mpaka hapa una hoja ya haja

MIMI NASEMA WATU WA MKOA WA MARA WAZOMEWE POPOTE walipo ili labda hilo wanaweza kujirekebisha. WATU GANI HAWA?

UNYAMA wanaoufanya hata WANYAMA hawawezi kufanya hivyo.

hapa ndio ustaarabu gani wa kuzomeana ? nadhani hii sio solution... hata nyani wameshaacha kuzomeana mkuu
 
Back
Top Bottom