15 Julai, 2021; Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kasi sana na watu wa kada zote

ZWAZWA kweli wewe!!! Kwa kuwa Babaako ana MAWIFI basi unadhani kila mtu 😂😂😂😂 peleka upuuzi wako kwingine!!

ZWAZWA kweli wewe!!! Kwa kuwa Babaako ana MAWIFI basi unadhani kila mtu 😂😂😂😂 peleka upuuzi wako kwingine!!!
Unaejua kuandika sasa...babaako ?? Upuuzi???...unajichekesha kama unapelekewa moto
 
Kwa kuwa babaako anapelekewa moto na akakufundisha na wewe unadhani kila mtu anafanya huo ujinga taahira wewe!? 😂😂😂 wewe nani unizuie kuucheka ujinga wako pimbi wewe!!!

Unaejua kuandika sasa...babaako ?? Upuuzi???...unajichekesha kama unapelekewa moto
 
Basi mkumbuke yule
Ana faili Milembe (by Dkt Diallo).

2841110_images_42.jpeg
 
Atakumbukwa kwa
1) Kuwanyima watumishi nyongeza ya mishahara na madaraja kwa miaka kibao
2) Kuwanyima watumishi wa umma haki ya kuhama
3) Kuwakatalia wanufaika wa bodi ya mikopo kuwaondolea VRF
4) Kwa ukabila aliokuwa anaanza kupandikiza
5) Kwa chuki za kisiasa zilizokuwa zimeanza kushamiri. Apumzike kwa amani Magufuli.
=Kwa hayo hatuta msahau
Mh Samia ni zaidi ya kijito cha maji jangwani, ametufuta machozi na kuanza kutuondolea makovu mioyoni.
Hizi siasa zenu za ukanda ni Kansa inalolitavuna Taifa hili
 
Kwa hakika wamefilisika kiakili na kimaamuzi. Kuwa wana dola ndio majigambo yao lakini wanatupeleka pabaya.
 
Atakumbukwa kwa mazuri mengi mno! Hizi kodi uchwara hazikuwepo na fedha ilikuwepo na miradi mikubwa iliendesheka!
 
Mwaka huu niliona watu wanashangilia kodi kutoka 9 to 8 wakati jamaa alipunguza toka 11 to 9%, last year, ukweli jamaa alibalance mambo, sasa kwa hali hii ndg unaona kawaida tu?

Gharama kuongezeka kiasi hiki ni jambo la kawaida?

Petroleum wameongeza kodi wakati ndio source ya kila kitu tutegemee nini hapo.

Wamekuja na eneo la miamala ya simu, najiuliza sana, hii burden itabebekaje kwenye jamii???

Ukweli walipaswa kufikiri vinginevyo, Magufuli kwa mambo yaliyokuwa yanagusa jamii namna hii hakuwa akiyaridhia kbs....

Tunamkumbuka mpaka kesho
Wamefikiri sawa maana hizo pesa sio za kulipa salary bali zinarudi kwenye mzunguko zikiwa zimeleta tija kuliko tungewaachia hakuna cha maana kingefanyika
 
Back
Top Bottom